Ndege kama hizi hazihitaji uwanja.Zinaruka hata kutoka katika meli za kivita ambazo tayari ziko mashariki ya kati.Na pia zi auwezo wa kuruka bila kukimbia sana.Zinaweza kujinyanua bila kukimbia.Kwa hiyo hilo lisikupe shida.
US mpaka sasa anaendelea kunyonya asali ya Saudi mkuu,hawezi kuwekeza mzigo wote hivyo hivyo. Amefunga mirija kila kona. Anapiga pesa kwenye mauzo ya silaha na anawekeza kwenye visima.Mtoto wa kike unaalikwa lunch unakuja, unaalikwa dinna unatoka, unaitwa outing unakuja, unapelekwa shopping unakubali. Siku ukialikwa chumbani unashangaa. Oooh, ungenambia, ooh sikujua kama yangefika huku
hahahahah
Saudia anachokitafuta atakipata, siku akija kustuka, kaishaliwa
Kwamba US yupo tayari kuchoma mafuta, kuua askari wake, kuja kukaa jangwani hivi hivi tuuuuu
Asikiaye na afahamu
mi naomba Iran apige mabomu ule msikiti mkuu wa Mud ili mchezo uwe mtamu.
Ivi Iran ashawahi kumtibua USA?au ndo mapambio tu
sawa likija kumkuta jambo msije mkaanza kulialiaHizi twaarab tulishazizoea hakuna jipya hapa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji16]
Naothng newsawa likija kumkuta jambo msije mkaanza kulialia
Hakna kuunga unga wala kukata hakna jipya hapoUnganisha dot netanyau alikuwa Saudi Arabia juz, pompeo nae alikuwa huko....yajayo yanafurahisha[emoji23]
FactsUS anachofanya ni just show of force/power tu....Analeta military asset anayapaki waarabu jinsi walivo hamnazo wanayalipia madola kibao kwa saa....US akitaka kupigana na Iran atahakikisha hakuna asset zake au wanajeshi wake middle east au within the radius of 2000Km....Hii ni njama ya US kum contain Saud-Arabia na apo usishangae in near future akatangaza ni permanent Base ....US kamshindwa mu-Iran tokea 2003 kwani walikosea baada ya Iran kuvamiwa wakaingia mkenge kwa Irak ambae wala hakua na nguvu ila Iran ya leo US atakachoweza kufanya ni covert operation na sanctions tu....
Sio jiwe 2 mkuu hata karatasi hawanamarekani haina ubavu wa kurusha hata jiwe kuelekea Iran
Kabsa aseeehizo ni mbwembwe tu za marekani za kuendelea kuwakamua saudia!! hakuna jipya
Apo vipi mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23]Ivi Iran ashawahi kumtibua USA?au ndo mapambio tu
Hizo ndege nikubwasana hivyo ikiwa angani inaweza kujazwa mafuta juu kwajuu hivyo ukiona imetua labda imedunguliwa ....hapo kila idara imekamilika.sio kama nyinyi Malawi ikiwatisha mnakodi malori yabebe vifaru hadi kyelaHivi vita ikianza hayo madege yao watayarushia wapi? maana cha kwanza Iran itahakikisha inaharibu viwanja vyote vya kijeshi vilivyoko mashariki ya kati.
Wana Naval Ship ambayo wanaweza piga kambi baharini na ndege kufanya operation zake juuHivi vita ikianza hayo madege yao watayarushia wapi? maana cha kwanza Iran itahakikisha inaharibu viwanja vyote vya kijeshi vilivyoko mashariki ya kati.
Swali la msingi sana hiloZitakuwa na high tech kama Global Hawk!!
Au?
Aki reply unitag MKUUApo vipi mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1246695View attachment 1246697
Hata wakati wa Saddam mlisema hivi hivi, mwishowe mkalia Marekani muonevu.Hivi vita ikianza hayo madege yao watayarushia wapi? maana cha kwanza Iran itahakikisha inaharibu viwanja vyote vya kijeshi vilivyoko mashariki ya kati.