profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
hata mimi nashangaa,alafu anasema inaruka na kutua bila mwendo,huyu anachanganya na F-35,F-22,,hajui kama hizo bombers B-1,jumla ziko kama 18 tu,USA nzima,na ikipigwa moja hasara yake kubwa sana,hizo ni silaha za mwisho kutumiwa,mambo yakishakuwa magumu,,hapo ni maonyesho tu,wachote mafuta ya saudia..Hahah hiki kichekesho cha mwaka. B-1 ikae kwenye meli? Meli ipi inabeba bomber? Pole pole jf inakua fb