profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
hata mimi nashangaa,alafu anasema inaruka na kutua bila mwendo,huyu anachanganya na F-35,F-22,,hajui kama hizo bombers B-1,jumla ziko kama 18 tu,USA nzima,na ikipigwa moja hasara yake kubwa sana,hizo ni silaha za mwisho kutumiwa,mambo yakishakuwa magumu,,hapo ni maonyesho tu,wachote mafuta ya saudia..Hahah hiki kichekesho cha mwaka. B-1 ikae kwenye meli? Meli ipi inabeba bomber? Pole pole jf inakua fb
umechanganya,hizo zinazoruka toka melini na bila mwendo ni F-35,F-22,,hizo bombers B-1,sio za mchezomchezo..Ndege kama hizi hazihitaji uwanja.Zinaruka hata kutoka katika meli za kivita ambazo tayari ziko mashariki ya kati.Na pia zi auwezo wa kuruka bila kukimbia sana.Zinaweza kujinyanua bila kukimbia.Kwa hiyo hilo lisikupe shida.
kachanganya na F-35,F-22Lini bomber zikaruka kutoka kwenye Meli? Hahaaa uwe unauliza basi au saa zingine kaa tu kimya
naval ship ikizamishwa?japan waliwahi zamisha za USA kwenye WW IIWana Naval Ship ambayo wanaweza piga kambi baharini na ndege kufanya operation zake juu
High Tech katika nini? Maana kila Teknolojia ina kazi yake maalumu.
Ninamaanisha kuwa kazi ya chombo husika ndiyo ina-Determine aina ya Teknolojia inayotumika kuipatia ufanisi ili kutekeleza majukumu yake.
Global Hawk na Bone ni ndege mbili tofauti na kila moja ina kazi yake ama kazi zake maalumu na kila moja ina Teknolojia yake kivyake na zina utofauti mkubwa sana hata kwa mtazamo tu wa nje.
Umeongea point kubwa sana hii timu turampet watakimbiaHapo ndo hua nauona udhaifu wa US na mashabiki wao.Mtu Kati.Yaani Iran nchi ndogo tu mnasubiri mkusanyane weee mumweke mtu Kati mumchangie mumpige halafu aje asifiwe USA peke yake,halafu mnasema USA ni supa pawa wakati anashindwa kuingia peke yake anasubiri wapambe wamweke mtu Kati.
Na Iran akiwaalika Russia na China je,mtu Kati itafanya kazi?Kama Syria au Venezuela?au vipi ? mtu Kati imeshindwa North Korea?
Hakuna mahali nimesema ndege hizo ulizotaja zinaweka kuruka kwa vertical baali nilimaanisha kuwa ndege nyingi za vita zinauwezo huo.Zingine huwa zinaweza kuruka vertical ila marubani hawapendelei kutumia mfumo huu labda kwa emergence.Uongo huu;
lini B-1 iliruka toka kwenye carrier?,
Jf hata asiyejua anajifanya anajua;
Hizo ndege nikubwasana hivyo ikiwa angani inaweza kujazwa mafuta juu kwajuu hivyo ukiona imetua labda imedunguliwa ....hapo kila idara imekamilika.sio kama nyinyi Malawi ikiwatisha mnakodi malori yabebe vifaru hadi kyela
Pakistani mwaka wa 5 toka nimeukana uraia wa Tz.We ni raia wa nchi gani?
Asante mkuu ,tuwaeleweshe tu wataelewa .Umeongea point kubwa sana hii timu turampet watakimbia
Kwa ubavu UPI?Hivi vita ikianza hayo madege yao watayarushia wapi? maana cha kwanza Iran itahakikisha inaharibu viwanja vyote vya kijeshi vilivyoko mashariki ya kati.