Marekani yapeleka vikosi Liebanon kuokoa raia wake huku waziri mkuu Mikhail Mikat akikimbilia UNO kupeleka malalamiko kutokana na uchokozi wa Israel

Mzee Neta piga kwenye pumbu bado wanahema
 
Mzee Neta piga kwenye pumbu bado wanahema
Soma hapo chini kwa msisitizo.
Kwanini USA asiseme hiko kikosi kina idadi gani na kinapelekwa wapi ama kambi ipi!??
Kwanini apeleke kikosi kipya ilhali ana kikosi cha askari 40,000 tayari ukanda huo!?
Mna divert kusema wanaenda kuhamisha raia.Ila ukweli hawaendi kuhamisha raia kumuunga mkono Israel.
 
Siku hizi Marekani anampelekaga vikosi kuokoa raia Tu sio vita kama alivyokuwa zamani! Kweli hata Bibi nae alikuwa binti
 
Hadi sasa Hezbollah wamepata faida ya bikra zaidi ya million 700,, Mademu wa Allah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…