Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Sisi ndio tunapenda mambo kama haya,mwambie Ayatollah apulize filimbi match ianze.US mwenyewe kambi zake ziliteremshiwa missiles na Iran na hakuna air defense iliweza zuia.
Kauli za US ni kujaribu kuwatisha Iran lakini kipigo kipo pale pale.