Marekani yasema inabadilisha Vifaa, Mikakati na Mbinu za Ulinzi Mashariki ya Kati Ili Kuilinda zaidi Israel

Marekani yasema inabadilisha Vifaa, Mikakati na Mbinu za Ulinzi Mashariki ya Kati Ili Kuilinda zaidi Israel

US mwenyewe kambi zake ziliteremshiwa missiles na Iran na hakuna air defense iliweza zuia.

Kauli za US ni kujaribu kuwatisha Iran lakini kipigo kipo pale pale.
Sisi ndio tunapenda mambo kama haya,mwambie Ayatollah apulize filimbi match ianze.
 
Sasa USA anafanya yote hayo kwa sababu gani ikiwa mshirika wake ana nguvu ya kujilinda dhidi ya waajemi? Unafahamu hata kwenye top 10 ya mataifa yenye nguvu haipo?
Anajipendekeza tu
 
Israel bila Marekani na mataifa kama Saudi Arabia na Jordan, angekuwa ameshafutika katika ramani ya. Dunia.
Nguvu ya mtu ni pamoja na ushawishi alionao, watu hawafanyi vita kwa sifa ila maslahi ndo maana Marekani na uwezo wake wote lakini hata kuipiga Libya alikusanya washirika wake. Hata Iran ingefurahi kama hayo mataifa mengine yangekuwa upande wake.
 
Usemi tu wa watu wavivu wa kufikiri

Kwa tarifa yako, Dunia bila Jews, hakuna taifa lenye nguvu kijeshi
Ndivyo unavyojidanganya!?
Kuna vita kubwa zimepiganwa kipindi hiko hata hao jews hawajulikani kina nani!??
Israel bila USA na EU angeshafutika katika ramani ya dunia.
 
Aah wapi
Hizi story tu
Kafuatilie ujue Israel inapokea bilioni ngapi ya dola kiulinzi na kiuchumi.
Kila mwaka Israel inasaidiwa kisilaha hadi risasi.
Vita ya Gaza ilipoanza USA haraka ilipeleka battleship ikiwa na Navy seals 2000 Na patriotic missiles.
Kama unabisha sema tukuletee ushahidi.
Israel bila USA na UK ingeshafutika.
 
Back
Top Bottom