Marekani yasema Iran itaishambulia Israel saa 72 zijazo

Mkuu najua we mtu wa beacon na bia Hanson's Choice.
Supu ya kuku tuachie sisi.
-Sijazungumzia Udini hapa kaka suala la ushoga halina Udini na hakuna dini inayoruhusu ushoga.Si Uislam wala si ukristo wala si Hinduism zote haziruhusu ushoga.Ila Uislam umeweka sheria kwa msagaji afungiwe na kuachwa na njaa na kiu mpaka kifo,na atayebainika ni kitendo cha ushoga basi ni kupigwa panga la shingo.Hivyo katika dini yetu Allah katuwekea sheria ambazo zinatakiwa ziundiwe mahakama ya kadhwi kwaajili ya kuwaadabisha wakiukaji sheria za Uislam ili maadili yaweze kulindwa.Yaliyobaki tunamuachia yeye siku ya kiama.
-Hakuna aliyewahi kusema Iran ana nguvu kuliko USA,ila ni kweli Iran ana nguvu kuliko Israel.Pia USA haiwezi kuidhibiti Iran kwa vikwazo,licha ya vikwazo vya kiuchumi iliyowekewa Iran toka mwaka 1979 ila Iran ni middle upper income country.Sasa jiulize hili taifa lina uwezo kiasi gani,je kama asingewekewa vikwazo angekua wapi hadi sasa!?
Nikikuletea takwimu za kiuchumi za Iran na namna ilivyokua inaishi katika vikwazo vya kiuchumi basi lazima usituke mkuu.Bimaana kama isingewekewa vikwazo Iran ingekua zaidi ya Singapore.
USA ndiye anayeogopa kukua kwa Iran kutamuangamizia maslahi yake mashariki ya kati.


Cha mwisho mkuu wakati unamaliza beacon yako na Hanson choice,TUSIPENDE KUNASIBISHA MAMBO NA DINI.Kwasbabu hata hao Israel wametajwa kuwa mashoga ila HAWAKUNASIBISHWA NA DINI.
 
Waarabu, wazungu, wamasai, wagweno, wakenya, wazanzibar. Ushoga ni tabia ya mtu si nchi. Imezuiwa, haijazuiwa watu wakiamua wanafanya tu, na huko uarabuni wanafanya pamoja na kukatana vichwa.
Ndio sasa mwambie mwenzako.
Hii kauli ulitakiwa umwambie huyo jamaa kuwa dhambi yeyote sio tu ushoga bali uovu wowote hauna dini wala kabila ama asili.
Maana jamaa yako alichokiandika kinaeleza kuwa ushoga ni tamaduni za pwani kwa hapa Tanzania.
Ndio maana nikamtolea mfano mbona Arusha ndio inaongoza!?
 
itapendeza zaidi kama wakipigana na kuuwana nchi zote mbili ili pabaki patupu, ili nikajitwalie hekta zangu kadhaa kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji.
Mkuu ulichoandika na hiyo dp yako vinaendana kabisa.

Don’t take it personal 😀

Wengine wapigane we uje kujitwalia tu.

Tabia ya mnyama fisi kwa Simba hiyo 😀
 
Hayo ndo mashoga yenyewe na ndomana yanapenda kuzungumzia ushoga! Mfano rahisi ni hapa nchini, chunguza mashoga wengi utakuta antu abuu, anti athu, anti rama n.k kifupi machoko wote wako upande wao na wengi wameharibiwa madrasa!
 
Tuanzie hapa nyumbani, mbona machoko karibia wote ni mdugu zako katika imaani!? Shida yenu mnapenda kuwanyooshe vidole wengine huku ninyi mmechafuka zaidi. Hivi maustaadhi walikusalimisha kweli sheikh!?
 
Source ya hii taarifa sio credible,mtu ametype tu kwenye website ya "Quora",the same as mtu a type tu hii taarifa hapa jamvini bila source ya kuaminika
 
Iran angeacha huu mchezo yuko uchi sana, kama watu wanajua mpaka muda utakaowashambulia hilo shambulizi lako limeshageuka usanii.
 
Israel anaitaka sana hii vita, na kaichochea kwa muda mrefu
Ushoga wa Arusha umekolezwa na watu kutoka Tanga waliojaa hapo Arusha.
 
Hapo Iran kwa uoga amezitisha nchi nyingine kitoruhusu anga zao kutumika na Israel.
Hawezi kuwatisha wakamuelewa, Iran atulie tu kama akishambulia hao jamaa wakilipiza utakuwa ndio mwanzo wa mwisho wa Ayatollah.
 
Wewe ni kafiriiii tu muabudu MFU na masanamu! Na kwenye bibilia mnaambiwa muwe mashoga ili muweze kubarikiwa
Lete aya ya kwenye biblia mkuu........

Kasome Sura ya ng'ombe(al baqra) 2:223 kwenye Quran

"Your wives are as fields for you. You may enter your fields from any place you want"

Mmatatuana marinda kwakua mmeruhusiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…