Marekani yasema Iran itaishambulia Israel saa 72 zijazo

Bahati mbaya zaidi waislamu hawana umoja, yaani ni kama nyati, mwenzao anachapika wao wanaangalia tu. Hilo katazo la Iran halitosaidia chochote wamba watapita humo humo kwenye anga za hizo nchi.
 
itapendeza zaidi kama wakipigana na kuuwana nchi zote mbili ili pabaki patupu, ili nikajitwalie hekta zangu kadhaa kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji.
Kilimo na ufugaji umeshindwa kufanya kijijini kwenu ndio utaweza huko mashariki ya mbali?
 
itapendeza zaidi kama wakipigana na kuuwana nchi zote mbili ili pabaki patupu, ili nikajitwalie hekta zangu kadhaa kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji.
😛😛Kwa akili hizi ukipelekwa kule utaacha kilimo halafu utajiunga kweny makundi ya kubet.
 
We mtalibani wa Nungwi acha uongo.
 
Tuanzie hapa nyumbani, mbona machoko karibia wote ni mdugu zako katika imaani!? Shida yenu mnapenda kuwanyooshe vidole wengine huku ninyi mmechafuka zaidi. Hivi maustaadhi walikusalimisha kweli sheikh!?
Arusha ndio wanaongoza kwa uasherati na ushoga.
Na hapa Dar es Salaam Kinondoni ndio inaongoza kwa ushoga na wengi ni dini ya wavaa misalaba,je hilo unalizungumziaje!??
Ukienda Masaki kuna mashoga kina John kama wote wanapigilia pamba huwezi kuwajua.
Msipende kuhusisha tabia na dini huu upumbavu acheni.
Maana wote mnaonekana wapumbavu.
 
If a dog barks at a mountain will mountain gets affected..?
Kosugi
By pushing a wall there is no work been done because force applied did not move the wall in a particular distance.
W=Fxd
Lior pushing a wall expecting it to move or squeze equals to a dog barking to a mountain.
 
Ona aibu basi, hapa nchini shoga John ushamsikia wapi!? Wote ni Abuu, Rama Mzenji n.k
Hata hivyo nilikuwa namjibu mvaa kobazi mwenzio aliyesema Ukristo ni dini ya mashoga.
 
Ona aibu basi, hapa nchini shoga John ushamsikia wapi!? Wote ni Abuu, Rama Mzenji n.k
Hata hivyo nilikuwa namjibu mvaa kobazi mwenzio aliyesema Ukristo ni dini ya mashoga.
Nione aibu wapi?
Nikupeleke Arusha ukaone kina Paul walivyovaa shanga kiunoni?
Au nikupeleke Masaki na Kinondoni ukaone mashoga smart kina Francis!??

Mie nimeongea KIUJUMLA msipende kukashifiana dini sio kitu kizuri.
Hakuna dini inayoruhusu hayo mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…