Marekani yasogeza meli za kivita na kuziweka mkao wa tayari kuichakaza Iran

Marekani yasogeza meli za kivita na kuziweka mkao wa tayari kuichakaza Iran

13 April 2024

Rais Joe Biden na mawaziri pamoja na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wa Marekani wakifuatilia hali mashariki ya kati baada ya Iran kuanza mashambulizi

1713061114008.png
 
14 April 2024

BOLTON : MAJIBU YA ISRAEL YANATAKIWA YAWE YA PIGO MAKUBWA ZAIDI, KUPELEKA UJUMBE THABITI IRAN

John Bolton mshauri wa masuala ya usalama wa utawala wa Trump asema majibu kwa shambulizi la Iran dhidi ya Israel linatakiwa liwe kubwa na zito kuliko hizi drones, rockets na makombora waliyotuma leo. John Bolton ambaye pia aliwahi kuwa balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa asisisitiza majibu yasiwe pigo pigo bali pigo kwa pigo kali la kumliza Iran aache mchezo huu..

Bolton: Israel's response to Iran's strikes should be 'far stronger'

View: https://m.youtube.com/watch?v=9OYKd1reSPc
 
tunajua mashoga ya kiyahudi hawawezi kuzuia kifilo kutoka kwa makobazi sasa ni bora muitane mshirikiane kuchezea rungu kwa pamoja na USA
 
Marekani inaitafuta Iran kutaka kuipiga kwa kosa gani?

Naomba unieleweshe hapa
Mpango Mkakati wa Marekani kuishambulia kivita ulitengenezwa na kukamilika tangu mwaka 1980 mara baada ya Utawala wa Kiislamu ukiongozwa na Hayatollah Ruhollah Imam Khamenei kuundoa Utawala wa wa Reza Shah Pahlavi.
 
John Bolton ambaye pia aliwahi kuwa balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa asisisitiza majibu yasiwe pigo pigo bali pigo kwa pigo kali la kumliza Iran aache mchezo huu..

Israel sasa inafikiria kupeleka majibu ya mashabulizi yaliyotoka moja kwa moja kutoka ktk ardhi ya Iran tofauti na siku zilizopita Iran ilipokuwa ikutumia vikaragosi vyake vya mgambo vilivyopo Syria, Iraq, Lebanon na Yemen

1713097852514.png
 
14 April 2024

MAREKANI YAVUTA SHATI LA ISRAEL NA KUISIHI ITULIE KWANZA

Taarifa rasmi kutoka White House ikulu ya Washington, Marekani yaisihi Israel na kuivuta shati, isijibu mapigo kwa kuwa zana za ulinzi wa anga zimefanikiwa kulinda nchi ya Israel dhidi ya mashambulizi ya moja kwa moja kutoka Iran ya drones, maroketi na makombora.

Marekani mshirika mkuu na rafiki wa kweli wa Israel imesema itaitisha mkutano wa mataifa makubwa wa kundi la G7 kujadilli shambulizi la kiwendawazimu la Iran dhidi ya Israel....

Na kuwa rais Joe Biden ameongea na waziri mkuu Benjamin Netanyahu kuwa urafiki wao uliotiwa nguvu mithili ya vyuma viwili vilivyochomewa kwa moto welding - Iron Clad - upo imara kuhakikisha Israel haiangamizwi na maadui.


APRIL 13, 2024

Statement from President Joe Biden on Iran’s Attacks against the State of Israel​


Earlier today, Iran—and its proxies operating out of Yemen, Syria and Iraq—launched an unprecedented air attack against military facilities in Israel. I condemn these attacks in the strongest possible terms.
At my direction, to support the defense of Israel, the U.S. military moved aircraft and ballistic missile defense destroyers to the region over the course of the past week. Thanks to these deployments and the extraordinary skill of our servicemembers, we helped Israel take down nearly all of the incoming drones and missiles.
I’ve just spoken with Prime Minister Netanyahu to reaffirm America’s ironclad commitment to the security of Israel. I told him that Israel demonstrated a remarkable capacity to defend against and defeat even unprecedented attacks – sending a clear message to its foes that they cannot effectively threaten the security of Israel.
Tomorrow, I will convene my fellow G7 leaders to coordinate a united diplomatic response to Iran’s brazen attack. My team will engage with their counterparts across the region. And we will stay in close touch with Israel’s leaders. And while we have not seen attacks on our forces or facilities today, we will remain vigilant to all threats and will not hesitate to take all necessary action to protect our people.
 
Back
Top Bottom