Marekani yatangaza kuanza majadiliano na Congo kuhusu mpango wa uchimbaji madini ili kubadilishana na ulinzi.

Marekani yatangaza kuanza majadiliano na Congo kuhusu mpango wa uchimbaji madini ili kubadilishana na ulinzi.

Tshekedi ameona awakomeshe watutsi wasiopendwa na wakongo. Hapo Congo icheze vizuri kwenye mikataba tu na wakaze hapo hapo kuwa wanyamurenge warudishwe kwao Rwanda.
 
Wakongo wangewaomba tu Marekani msaada wa kilimo, umuagiliaji na mifugo badala ya madini wangetoka kimaisha. Yani ardhi ya mashariki ya kongo ni kijani na rotuba na mvua inanyesha kila siku. Cha kusikitisha karibu chakula chote wanaagizia kutoka nje. Maziwa wanakunywa ya Rwanda na matunda.

N de A
yaani watu wanauana unataka waombe msaada wa kilimo hicho kilimo unalimaje huku mnapgwa mabomu first priority ni amani ikishapatikana watalima
 
Wakongo wangewaomba tu Marekani msaada wa kilimo, umuagiliaji na mifugo badala ya madini wangetoka kimaisha. Yani ardhi ya mashariki ya kongo ni kijani na rotuba na mvua inanyesha kila siku. Cha kusikitisha karibu chakula chote wanaagizia kutoka nje. Maziwa wanakunywa ya Rwanda na matunda.

N de A
Ni ngumu kuendesha kilimo kwenye vita. Huu mpango ni mzuri, Marekani anachukua madini huku akilipa kodi hata kidogo pamoja na ulinzi, halafiu Wakongoman wanajikita kwenye kilimo na ufugaji, maisha yanaenda
 
Marekani hawakawii kusema Rwanda ndio mwakilishi wao ktk hayo makubaliano,trump chizi huyo
 
Marekani hawakawii kusema Rwanda ndio mwakilishi wao ktk hayo makubaliano,trump chizi huyo
Hawawezi kumuogopa Rwanda kiasi hicho ikiwa huwa wanamtikisa hadi Israel, na Ukrain katikiswa haswa!
 
Wakongo wangewaomba tu Marekani msaada wa kilimo, umuagiliaji na mifugo badala ya madini wangetoka kimaisha. Yani ardhi ya mashariki ya kongo ni kijani na rotuba na mvua inanyesha kila siku. Cha kusikitisha karibu chakula chote wanaagizia kutoka nje. Maziwa wanakunywa ya Rwanda na matunda.

N de A
Nasikia huko ndizi moja ya mzuzu dollar 3... ukifikisha canter la ndizi congo we tajiri
 
Back
Top Bottom