Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Ile ya DP World na Ngorongoro zenyewe zimekaaje..!!Ukisikia kuuza nchi ndio hukuuu
yaani watu wanauana unataka waombe msaada wa kilimo hicho kilimo unalimaje huku mnapgwa mabomu first priority ni amani ikishapatikana watalimaWakongo wangewaomba tu Marekani msaada wa kilimo, umuagiliaji na mifugo badala ya madini wangetoka kimaisha. Yani ardhi ya mashariki ya kongo ni kijani na rotuba na mvua inanyesha kila siku. Cha kusikitisha karibu chakula chote wanaagizia kutoka nje. Maziwa wanakunywa ya Rwanda na matunda.
N de A
Ni ngumu kuendesha kilimo kwenye vita. Huu mpango ni mzuri, Marekani anachukua madini huku akilipa kodi hata kidogo pamoja na ulinzi, halafiu Wakongoman wanajikita kwenye kilimo na ufugaji, maisha yanaendaWakongo wangewaomba tu Marekani msaada wa kilimo, umuagiliaji na mifugo badala ya madini wangetoka kimaisha. Yani ardhi ya mashariki ya kongo ni kijani na rotuba na mvua inanyesha kila siku. Cha kusikitisha karibu chakula chote wanaagizia kutoka nje. Maziwa wanakunywa ya Rwanda na matunda.
N de A
Hawawezi kumuogopa Rwanda kiasi hicho ikiwa huwa wanamtikisa hadi Israel, na Ukrain katikiswa haswa!Marekani hawakawii kusema Rwanda ndio mwakilishi wao ktk hayo makubaliano,trump chizi huyo
Rwanda Wanataka kuchua kwa mtutu Mkuu, Sio kwa Kukaa mezani.Kwanini wasiwape Rwanda hayo madini kwa makubaliano ya usalama?
Nasikia huko ndizi moja ya mzuzu dollar 3... ukifikisha canter la ndizi congo we tajiriWakongo wangewaomba tu Marekani msaada wa kilimo, umuagiliaji na mifugo badala ya madini wangetoka kimaisha. Yani ardhi ya mashariki ya kongo ni kijani na rotuba na mvua inanyesha kila siku. Cha kusikitisha karibu chakula chote wanaagizia kutoka nje. Maziwa wanakunywa ya Rwanda na matunda.
N de A