Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Chanjo iliyopo Tanzania ni moja tu? Ndo hiyo ya J & J?Ninalinganisha kama chakula kwa sababu kuna mataifa yanasema kama hujachanjwa huwezi kuingia katika nchi zao.
Kuna watu wanachanjwa sio kwa sababu ya kuogopa ugonjwa bali kwa sababu ya kutimiza masharti fulani ambayo yanawataka kwa lazima.
Kuna watu wanatakiwa kwenye kuhiji na wasipochanjwa hawawezi kuruhusiwa kwenda kuhiji. Hawa kuna baadhi sio kwamba wanachanjwa ili kujihami na korona bali kwa sababu ya kutimiza sharti.
Chanjo inayopatikana nchini ni moja tu na wakiikataa hawawezi kwenda kuhiji.
Kwa mantiki hii ndio maana hoja ya chakula nimeweka kama mfano muhimu.
Tengeneza za kwako , omba msaada za mabeberu wa kichina au Kanywe ile dawa anayogawa Rais mwenyewe Kabudi aliyoileta kutoka Madagascar.
Mkuu, mchango wako huu unarudi kwenye hoja yangu ya msingi ambayo nimesema kwa nini serikali isilete pia chanjo zingine ili wananchi wachague ni ipi wanapenda kuchanjwa kati ya hizo chanjo.Chanjo iliyopo Tanzania ni moja tu? Ndo hiyo ya J & J?
Kwani wamesema hawataleta chanjo zingine?Mkuu, mchango wako huu unarudi kwenye hoja yangu ya msingi ambayo nimesema kwa nini serikali isilete pia chanjo zingine ili wananchi wachague ni ipi wanapenda kuchanjwa kati ya hizo chanjo.
Kwa sababu muda hutoa jibu sahihi, acha niwape muda huku nikiwa na ufahamu mzuri wa historia ya wanasiasa wetu!Kwani wamesema hawataleta chanjo zingine?
Ndo kwanza mchakato wa kuleta chanjo umeanza.
Wape muda.
Fair enough!Kwa sababu muda hutoa jibu sahihi, acha niwape muda huku nikiwa na ufahamu mzuri wa historia ya wanasiasa wetu!
Sitashangaa kuona shehena nyingine ya chanjo za Johnson and Johnson vaccine ikiingia nchini!
Pia wewe huna hoja ya kuni qoute.Mkuu
Sidhani sana kama kuna umuhimu wa wewe kuni quote kama huna hoja muhimu ya kuniambia
Wapi nimemuombea mtu afe wakati mimi nimeeleza jinsi mwendazake alivyonusurika kumuua Tundu Lissu?Kwani ukimuombea mtu afe, utarithi Mali zake, au mke wake au unafikiri itakupunguzia matatizo uliyokua nayo au unafikiri itatengeneza njia yako ya kwenda Mbinguni?
Mbona mnachuma dhamba zisizo na ulazima?