Marekani imeandaa makombora ya microwave ambayo yanaweza kuzima mitambo ya nyuklia ya Iran, Mary Lou Robinson, mkuu wa zamani wa Kitengo cha Microwave cha Jeshi la Anga la Marekani amethibitisha kwa DailyMail.com kwamba makombora hayo "yako tayari kulenga shabaha yoyote ya kijeshi, pamoja na vifaa vya nyuklia."
www.israelhayom.com
Report: US deployed microwave missiles that can disable Iran's nuclear facilities
According to an exclusive report from DailyMail.com, the US Air Force has quietly deployed a new type of missile
www.israelhayom.com