Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Warmonger sasa hizo silaha za nn ? Huyu ni kirus duniani kila vita anatia mkono...Angetulia nchi yake ,ngoja kinuke huko kwake ataelewa malipo ni hapa hapa duniani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ndio tabia za wababe au watu waliokuzidi kitu fulani yaani kila kitu wanakupangiaHzo silaha zake anauza kilazima sio kama watu wanazikubali kiubora akisikia hujanunua kwake silaha ananuna na vikwazo anakuwekea aache soko liwe huru aache watu wachague wanapotaka kununua aone km kuna atakaenunua kwake lakini yy anawawekea vikwazo wenzake hili yy auze.
Eeeh unataka kunambia Uturuki ilikuwa inaona ni bora kupata F-16 kuliko wale wakimbizi wa kisiasa ambao wakitaka kuipindua Serikali ya Rais Edogan?Uturuki alikuwa amezuia Sweden isijiunge NATO Ili kuishinikiza marekani imuuzie ndege za f-16.
Mpaka marekani alipokubali kuiuzia uturukif-16 ndio ikaondoa zuio la kujiunga NATO!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app