Jiwe ameharibu sana nchi hii[emoji23]
Mkuu, Safari hii ndio utajua Kati ya Ma prof na wasioelewa ni wepi walio wengi
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe ameharibu sana nchi hii[emoji23]
Mkuu, Safari hii ndio utajua Kati ya Ma prof na wasioelewa ni wepi walio wengi
Bali dola hizo hazikuwahi kuwazuia wananchi kufanya maamuzi yao .Na hakuna utawala uliokaa madarakani bila DOLA! Nipe mfano wa nchi moja tu ambapo mtawala alikaa madarakani bila DOLA!
Hivi kati yako na jiwe nani unaamini anaweza kuendesha nchi? Unajua pamoja na ujinga wako lakini unaweza kuwa bora kuliko JiweNyinyi ni mapumbavu na mjinga ambayo kila mnalosikia kutoka Marekani mnaona ndiyo mwisho wa mambo yote.,Dada yangu nikuambie,maneno ya kipuuzi kama hayo tunayasikia kila mara lakini kila anayevunja sheria na taratibu hataachwa kwa sababu Marekani imesema.
Na Utake au usitake hicho kibaraka chenu kamwe hakiwezi kupata uongozi wa nchi hii.Mwalimu alishawahi kusema hatuwezi kukabidhi nchi kwa ma Mbwa.
Kweli kabisa. Ni wananchi na sio kikundi cha watu.Bali dola hizo hazikuwahi kuwazuia wananchi kufanya maamuzi yao .
Anaemiliki nguvu ya umma ndie anaemiliki dola.Chama makini umiliki vyote kinawekeza kwenye umma zaidi kuliko dola,chama mfu Ni kile kinachobebwa na dola badala ya ummaKweli kabisa. Ni wananchi na sio kikundi cha watu.