Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

America watu wanauwawa kuliko nchi yoyote east Africa halafu leo wanaleta kidomodomo.
Naona Tanzania,Kenya na Uganda zimewekwa level moja,halafu eti Rwanda hakuna hatari yoyote.
Mwenye akili ataona shida ilipo.

Hata hapa nchini ccm inafanya mikutano bila usumbufu wowote, unashangaa US kufumbia macho huko kwao? Hii ndio karma, ukiwafanyia wengine wasichotaka, usilie siku na ww ukifanyiwa hayo hayo.
 
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.
=========


Exercise increased caution in Tanzania due to crime, terrorism, and targeting of LGBTI persons.

Violent crime, such as assault, sexual assault, express kidnapping, mugging, and carjacking, is common. Local police may lack the resources to respond effectively to serious crime.

Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania. Terrorists may attack with little or no warning, targeting embassies, police stations, mosques, and other places frequented by Westerners.

Members of the LGBTI community have been arrested, targeted, harassed, and/or charged with unrelated offenses. Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations.

Read the Safety and Security section on the country information page.

If you decide to travel to Tanzania:
  • Always carry a copy of your U.S. passport and visa and keep original documents in a secure location.
  • Be aware of your surroundings.
  • Do not leave your food or drink unattended.
  • Stay alert in all locations, especially those frequented by Westerners.
  • Avoid public displays of affection particularly between same-sex couples.
  • Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.
Follow the Department of State and the US Embassy in Tanzania on Facebook and Twitter Review the Crime and Safety Report for Tanzania.

U.S. citizens who travel abroad should always have a contingency plan for emergency situations. Review the Traveler’s Checklist.

Souce: Tanzania Travel Advisory
 
Kwani wamekutangazia wewe au wamewatahadharisha wamarekani.
Mimi nakushangaa sana mtu kama wewe unaona sawa Nchi kutangazwa vibaya lakini unatetea wanaokutangaza. Wakati mwingine toeni vichwa katika ma buts ya viongozi wenu
 
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.
=========


Exercise increased caution in Tanzania due to crime, terrorism, and targeting of LGBTI persons.

Violent crime, such as assault, sexual assault, express kidnapping, mugging, and carjacking, is common. Local police may lack the resources to respond effectively to serious crime.

Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania. Terrorists may attack with little or no warning, targeting embassies, police stations, mosques, and other places frequented by Westerners.

Members of the LGBTI community have been arrested, targeted, harassed, and/or charged with unrelated offenses. Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations.

Read the Safety and Security section on the country information page.

If you decide to travel to Tanzania:
  • Always carry a copy of your U.S. passport and visa and keep original documents in a secure location.
  • Be aware of your surroundings.
  • Do not leave your food or drink unattended.
  • Stay alert in all locations, especially those frequented by Westerners.
  • Avoid public displays of affection particularly between same-sex couples.
  • Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.
Follow the Department of State and the US Embassy in Tanzania on Facebook and Twitter Review the Crime and Safety Report for Tanzania.

U.S. citizens who travel abroad should always have a contingency plan for emergency situations. Review the Traveler’s Checklist.

Souce: Tanzania Travel Advisory
 
Hizo sifa sasa
Wamezidi nao hao USA
Sisi raia mbona hatuoni hivyo vitu,kwanini walishindwa kutoa hilo tamko enzi za kikwete Makanisa,misikiti na watalii walikuwa wanalipuliwa?
Waseme agenda yao wazi tuwahue.!
 
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.
=========


Exercise increased caution in Tanzania due to crime, terrorism, and targeting of LGBTI persons.

Violent crime, such as assault, sexual assault, express kidnapping, mugging, and carjacking, is common. Local police may lack the resources to respond effectively to serious crime.

Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania. Terrorists may attack with little or no warning, targeting embassies, police stations, mosques, and other places frequented by Westerners.

Members of the LGBTI community have been arrested, targeted, harassed, and/or charged with unrelated offenses. Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations.

Read the Safety and Security section on the country information page.

If you decide to travel to Tanzania:
  • Always carry a copy of your U.S. passport and visa and keep original documents in a secure location.
  • Be aware of your surroundings.
  • Do not leave your food or drink unattended.
  • Stay alert in all locations, especially those frequented by Westerners.
  • Avoid public displays of affection particularly between same-sex couples.
  • Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.
Follow the Department of State and the US Embassy in Tanzania on Facebook and Twitter Review the Crime and Safety Report for Tanzania.

U.S. citizens who travel abroad should always have a contingency plan for emergency situations. Review the Traveler’s Checklist.

Souce: Tanzania Travel Advisory
aisee hii ni hatari sasa.

kutokana na utoto wa viongozi wetu, my gut feeling is US wanaweza kuwa wameamua kuwa funders wa ugaidi kama njia ya kuuondoa uongozi huu uliojaa utoto.

Watanzania tusisubiri tufikishwe huko.... hii shughuli ya kuweka uongozi makini nchini mwetu ni jukumu letu sisi wenyewe!
 
Mimi nakushangaa sana mtu kama wewe unaona sawa Nchi kutangazwa vibaya lakini unatetea wanaokutangaza. Wakati mwingine toeni vichwa katika ma buts ya viongozi wenu
Nani anasababisha tutangazwe vibaya halafu ni wapi nimeona sawa kutangazwa vibaya, usiendeshwe na mihemuko.
 
ningekuwa bashite now ningesha achia cheo

ushoga hatuutaki kweli lkn kwann bashite alopoke vile?

nimeamini jamaa anaupeo finyu wa kufikilia yaani alishindwa ata na watoto wa form four wanajua kabisa wazungu wanamuwinda jiwe

muheshimiwa raisi nitadili na hao wanaopinga kwenye mitandao

haya maendeleo ni miaka mitatu tu je akiongoza miaka 30

kama mtu ni mfupi tusiseme

all in all bashite cheo kimekushinda UWEZO
KIkwete alipoulizwa swali kuhusu ushoga na mwandishi wa habari alitoa jibu simple na lililoeleweka "Jamiiyetu watanzania haijawa tayari kuruhusu jambo hilola ushoga". Baada ya jibu hilo hakukuwa na mjadala wowote kwa kuwa alishaufunga kiakili
 
Sijui huduma gani muhimu Bashite anayompa Jiwe hadi ikafikia hatua hii
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hakuna issue yeyote zaid ya ushoga tu na hapo tumewashika pabaya america

Ww ndio unaona hilo tu, sisi wapinzani tunaona mengi. Ngoja tuone mwisho wa hii chokochoko. Hapa ndio watawala watafahamu siasa za kunyanyasa wengine zina gharama zake.
 
The US state department has issued a travel warning to American wishing or visiting Tanzania over crimes, terrorism and human rights violation.
Dar es Salaam. The US state department has issued a travel warning to American wishing or visiting Tanzania over crimes, terrorism and human rights violation.
“The State Department urges US citizens to "exercise increased caution" while in Tanzania due to concerns over crime, terrorism and official actions targeting people on the basis of their gender or sexual identity,” reads a statement circulated on Thursday December 27, 2018.
The warning statement says US citizens should be cautious against violent crime, such as assault, sexual assault, express kidnapping, mugging, and carjacking, is common.
“Local police may lack the resources to respond effectively to serious crime,” says a statement.
It went on saying terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania. Terrorists may attack with little or no warning, targeting embassies, police stations, mosques, and other places frequented by Westerners.
“Members of the LGBTI community have been arrested, targeted, harassed, and/or charged with unrelated offenses. Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations,” says a statement posted on Travel.
Those who decide to travel to Tanzania, are called to always carry a copy of your US passport and visa and keep original documents in a secure location, be aware of their surroundings and should not leave your food or drink unattended.
They have also advised to stay alert in all locations, especially those frequented by Westerners, void public displays of affection particularly between same-sex couples and enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.
Beberu time [emoji1] [emoji1]
 
Kikubwa ni kuufunga ubalozi wa marekani tanzania. Hakuna njia nyingine.nimeona hata watu wakijinasibu kuwa 2019 hawatajali police 🚔 wala mtu awae yote. Sasa tuwe makini na marekani. Inawezekana ime imesha watuma hao wanaotaka kutumia ubabe bila kuogopa police. Tanzania 🇹🇿 niyetu. Wapo watu wanajinasibu kuwa hawaogopi kupigwa risasi. Tuanze kuwakamata hao na kuwahoji na kuwazibiti

Matumizi ya nguvu hayatatatua tatizo, tenda haki kwa watu wote nchi itakuwa na amani na utulivu.
 
Kwa taarifa yako utekaji marekani kama huu ni kama kawaida unatikea kila kukicha tena mpaka vibinti vidogo vinatekwa na kuuawa tatizo la mtu kama wewe hutaki kuutumikisha ubongo wako na kufanya research kabla hujaweka pumba.

Akon ni Mmarekani na Senegal kawaonya msipende sana kuzianika nchi zenu mkidhani Marekani ni peponi.

Ni kweli, lakini hata hapa sio peponi. Tunaona ukatili wa wazi dhidi ya wapinzani wakati wa uchaguzi. Watu wameachwa na vilema kisa hawaikubali ccm. Basi acha hao wazungu waje watoe msaada kwa wale wanaoumizwa kisa hawaikubali ccm.
 
Ivi tukio Kama lakutekwa MO lile sio ugaid,, AU matukio ya watu kutekwa ovyo,, Kuna mambo mengine tunayachukulia easy ila yanaharibu image ya taifa letu lenye sifa nzuri tangu zamani,,
Mimi nilitegemea Yule Dereva aliekuwa anajinasibu kuwa yeye ndio alikodiwa na waliomteka MO,,
YULE Dereva ilitakiwa atolewe kafara apigwe ht risasi za kichwa maana ameshirikiana na watenda uhalifu.... Lakini mpk Leo yupo huru anakula magimbi[/QUOTE
Ile ilikuwa futuhi
 
Ni kweli, lakini hata hapa sio peponi. Tunaona ukatili wa wazi dhidi ya wapinzani wakati wa uchaguzi. Watu wameachwa na vilema kisa hawaikubali ccm. Basi acha hao wazungu waje watoe msaada kwa wale wanaoumizwa kisa hawaikubali ccm.
Ninachokisema mimi sitetei haya matukio lakini usisahau Marekani kila mwezi watu weusi wanauawa na polisi hivyo wanatakiwa kuwa wa mwisho kutusema sisi lakini wenzetu wengine humu kwasababu wanaichukia serikali basi wanaona ni sawa tu tutangazwe vibaya.
 
Back
Top Bottom