Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Mabeberu wanatafuta kila njia kurudisha nyuma juhudi za JPM kuwaletea wananchi wake maendeleo! Next time nasisi tutakataaa kununua Boeing kutoka Marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi tayari ina najis ndiyo maana hakuna democrasia, watu wanapotea, hakuna uhuru wa habari, kuna dalili za udikteta, hauna sustainable development e.t.c!Tena wafie huko huko kwao wasiitie najis nchi yetu
Nchi tayari ina najis ndiyo maana hakuna democrasia, watu wanapotea, hakuna uhuru wa habari, kuna dalili za udikteta, hauna sustainable development e.t.c!