Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

I didn't know you could think this shallow. China is your true friend? Why didnt you say that you are sufficient ...............?????
So sad the kind of journalists the country has
Chakula unapokipika, kitaiva kwa kiwango cha moto utakaopikia, ukipikia moto mdogo, hakitaiva kitakuwa kibichi, hivyo sisi waandishi wa Tanzania, hiki kiwango changu ndicho kiwango chetu tulichopikwa and I’m proud to be this kind kwa sababu this kind ndio the only stuff Tanzania market can swallow.

Find out the readership survey ya magazeti ya bongo, you’ll be surprised to find out Tanzanite ndio linaongoza, that is the stuff Tanzanians like to read.
P
 
Flyover ya mfugale, Daraja kigamboni, na interchange sio msaada wala mkopo wa mchina, ila wakandarasi ndio wachina. Hapo naona umechanganya kidogo mkuu. Tofautisha wajenzi na misaada, naendelea kuifuatilia mingine uliyoorodhesha. Ili nithaminishe na USD $ 700M zilizotolewa mara 3 na USA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
La 10 ndio limenifanya nikuheshimu sana, haya ucku mwema!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda akiondolewa ndio ushoga utaisha? Au nawewe ni shoga?
 
Kijembe hiki kimfikie "mambo sasa hivi"[emoji23][emoji23]
 
Hebu waza kwa sauti tumefikia huko kweli? Tunaposhangilia na wengine kukosoa lazima tuwe na kiulizo chakujiuliza swali why tumefika hapa?
 
Kwa hii warning tutajie kuzika ndugu zetukadhaa kabla 2019 kuisha. Tunakwenda kushuhudia kwa mara ya kwanza tukio kubwa la kigaidi. US hawana akili za kibashite. Wakisema jambo utake usitake litatokea. Tayari wanamtafutia visa Jiwe.
 
Hivyo vita vyenu piganeni wenyewe. Mnataka kuwashirikisha wananchi ili wafe wakilinda milo yenu. Pambaneni wenyewe na hao wamarekani
Tutapigana kuilinda nchi yetu mkitaka muungane nao hao magaidi wote tuwafyekelee mbali
 
Kama wewe ni mfatiliaji wa harakati nyingi za kivita na choko choko za marekani utaelewa hiyo tarifa bila kujali validity of the source.

Kwani mkuu nchii hii tuna usalama wa taifa au wa ccm??
 
Kwa hii warning tutajie kuzika ndugu zetukadhaa kabla 2019 kuisha. Tunakwenda kushuhudia kwa mara ya kwanza tukio kubwa la kigaidi. US hawana akili za kibashite. Wakisema jambo utake usitake litatokea. Tayari wanamtafutia visa Jiwe.
Kama aibu aliyoipata Syria haimtoshi ajilete na huku pamoja na hao vibaraka wao
 
Watanzania tuwapumbavu sana yaan mnafurahia propaganda za america kwa interest zake
Pambaneni nao sasa si mnajifanya mnaweza kila siku na bunduki barabarani kuonea raia?? This time tuko tayari kuungana na wamaekani tuwafumue nyie wasenzi.mmetuonea sana.

Bora sasa tukose sote.
 
Yameshakuwa hayo tena....hawa watu inahitaji upeo wa juu sana kujua dhumuni lao hasa.

Maana wanaanzaga mbali sana.!
Mkuu ndio wameshaanza tayari hili valangati wanasingizia magaidi lakini ni wao.

Wanaconsipiracy yao( informal) inaitwa problem creation solution yaani "watie mashaka au taharuki ndipo uwasadie kutafuta suluhu"

Watalipua kituo kikubwa cha kijamii au hata cha kijeshi kwa kutumia siraha kali zilizo nje ya usezo wa serikali ya Jiwe, ndipo watajitokezakuja kusaidia kutuliza tarani hiyo.

That time Jiwe chaliiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…