Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Wabongo Kwa kupenda kukuza vitu. Hizo travel warning na possible issues mfano crime au terrorism. Kumbukeni terrorists washawahi ku-attack US embassy. Naona watu washarukia kusema Jiwe jiwe jiwe as if hizo travel warning zimeanza Leo.
 
Hizi ripoti wakenya wanapewa kila wakati na maisha yanasonga........cha muhimu maisha yaendelee
 
Hawa jamaa jua kwamba kamwe hua hawakurupukaji, France waliwahi kuonywa na yakatokea, westgate pale kenya pia, hata warusi pia tena juz juz na wakashukuru, kwa hio intel ya hawa jamaa sio ya kispot spot...hapa ni mawili kwamba ni kwel kabisa hili liko ama wao ndio wanalitekeleza ila kutimia ni lazima..habari kwamba ni propoganda sahauni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achaneni nao hao Wamerakani... wakikataliwa matakwa yao watafanya juu chini kuvuruga wenzao...



Cc: mahondaw
 
Paschal,
Ahsante sana.
Umenipa kitu cha kunifikirisha kunambia sote tumebaki kuwa, ''gutter.''

Blog baada ya kutakiwa zilipe 1M ndiyo imekuwa mwisho toka hapo
sijaweka kitu kipya maana nikifanya hivyo nami sijalipa hizo fedha ni
kosa la jinai.

Si kama blog yangu nayo imekumbwa na ''gutter.''
 
Mkuu Maalim Mohammed Said, kwanza pole. Blogs zinazotakiwa kujisajili na kulipia hiyo 1.M ni blogs za news and events na zile online TV, lakini kwa personal blogs or websites, haihusu. Endelea kushusha vitu
kule www.mohamedsaid.com
P
 
Umeumbuka.
 
huo uwongozi umeshaona kwamba tz kwa sasa hivi wamekua wajanja kwa hiyo hapo wanatafuta njia ya kuwadanganya raia wake wasije kuchangia uchumi wa nchi walijua bado ni shamba la babu #wamefeli waache kuja 2
 

Hakuna vita ya Uchumi acheni propaganda za kitoto vita ya Uchumi unapigana na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…