Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Mabeberu wanatafuta kila njia kurudisha nyuma juhudi za JPM kuwaletea wananchi wake maendeleo! Next time nasisi tutakataaa kununua Boeing kutoka Marekani
 
Tena wafie huko huko kwao wasiitie najis nchi yetu
Nchi tayari ina najis ndiyo maana hakuna democrasia, watu wanapotea, hakuna uhuru wa habari, kuna dalili za udikteta, hauna sustainable development e.t.c!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…