Kwakweli kafanikiwa kutudhibiti ila kakosea kwa kutugawanya huku akikosana na wenye ramani ya hii nchiSipingani na ulichoongea ila principal ya kutawala watu kirahisi ni kwamba... kwanza wajaze uoga, pili divide them kwa namna yoyote ile, tatu tengemezea sheria zitakazo ku favour wewe zaidi kuliko wao... ukifanikiwa hayo, yoyote atakayekwenda kinyume unamfanye vile unavyotaka na kusiwe na chochote... huo siyo ugaidi... huo unajua mwenyewe unaitwa...
Tanzania ugaidi bado sana...
Cc: mahondaw
Wala hujakosea,,, tena nina utungu wa kuzaa Tanzania mpyaNaona hata wewe hapa tayri umeshika mimba
Ushauri mzuri ila sio kirahisi namna hiyo na hilo tangazo lenyewe lina impact kubwa sana kiuchumi usidhani limetamkwa tu!Naishauri serikali iwafukuze mabalozi wote wa 'Nji' chochozi kama hiyo
Haha, mmeshikwa pabaya pumbavu...Wekeni sasa na ninyi tangazo la kutuzuia kwenda Marekani, au mzuieni Trump asije TanzaniaHata USA kwenyewe polisi wao walishindwa kuzuia shambulizi la Sept 11.
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.
Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.
Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.
Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.
Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.
================================
The US State Department has issued a travelling warning to Americans wishing or travelling to Tanzania over crimes, terrorism and human rights violation.
The State Department has urged US citizens to "exercise increased caution" while in Tanzania due to concerns over crime, terrorism and official actions targeting people on the basis of their gender or sexual identity.
Violent crime is "common" in Tanzania, the State Department said on Wednesday, citing risks of assault, kidnapping, sexual assault and carjacking.
"Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania," the advisory also stated.
It added that lesbian, gay, bisexual, transgender and intersex (LGBTI) persons have been "arrested, targeted, harassed and/or charged with unrelated offences".
"Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations," the State Department noted.
The resources
Wednesday's advisory does not cite specific incidents of crime, terrorism or abuse of LGBTI persons.
In the case of violent crime, the State Department did say that "local police may lack the resources to respond effectively".
Regarding the threat of terrorism, the advisory warned that attacks may target "embassies, police stations, mosques and other places frequented by Westerners".
In the Tanzania section of its 2017 global survey of terrorism, the State Department pointed to a series of small-scale attacks in which "masked gunmen killed more than 30 police and local political officials in the Pwani region".
A terrorist group
The perpetrators did not claim allegiance to a terrorist group, last year's terrorism report on Tanzania added.
The December 26 travel advisory concerning LGBTI persons may have come partly in response to comments in October by Dar es Salaam Governor Paul Makonda.
"I have received reports that there are so many homosexuals in our city, and these homosexuals are advertising and selling their services on the internet," Mr Makonda said in a video posted to YouTube.
"Therefore, I am announcing this to every citizen of Dar es Salaam: If you know any gays ... report them to me.”
Special precautions
Tanzania is designated a "Level 2" travel destination on a 4-level scale established by the Trump administration last year.
Kenya and Uganda are also listed as Level 2 countries where the US advises more than normal precautions.
Somalia and South Sudan are both given Level 4 designations, which carry a "Do Not Travel" warning.
Sudan receives a Level 3 classification, whereby US citizens are urged to "Reconsider Travel."
Rwanda is among the countries said to require no special precautions on the part of travellers.
Source: The Citizen
AiseeeeKUFUATIA HALI YA WASIWASI JUU YA USALAMA WA RAIA WENYEWE 'WATANZANIA', SERIKALI YA MAREKANI IMETOA ONYO KWA KUWAHASA KUWA MAKINI PINDI WANAZURU TANZANIA.
KUPITIA IDARA YA SERIKALI IMEWATAKA WANANCHI WAO "KUCHUKUA TAHADHARI, KUTOKANA WASIWASI JUU YA UHARIFU, UTEKAJI NA VITENDO VINAVYOLENGA WATU KWA MISINGI YA JINSI" Inasoma taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Desemba 27, 2018.
Source: THE CITIZENView attachment 978998
Mkuu tatizo LA Wa Tanzania tunadanganywa kuwa ni matajiri yaani hakuna nchi nyingine yenye navyo wakati mbuga zenye simba waina tofauti tofauti wanadhani sisi ndiyo tuna mbuga dhahabu na kila aina zipo mpaka kwa wachina dhahabu kibaoIna maana simba wapo Tanzania tu?
But they eventually captured and killed the masterminder Osama....Hata USA kwenyewe polisi wao walishindwa kuzuia shambulizi la Sept 11.
Jifunze kutii kutoka kwa wengine na usipende kujilinganisha bila faida. Umeambiwa usipite hapa wewe unalazimisha kwa kisa eti mbona fulani kapita! Utaumia. La msingi ni kuchukua tahadhari yasijekukuta! Habari hii sio njema hata kidogo na binafsi nachukua tahadhari kwani gaidi hana rangi wala uniform! Mungu ingilia hii taharuki!Hata USA kwenyewe polisi wao walishindwa kuzuia shambulizi la Sept 11.
Kwa huyo Lissu alishambuliwa malaila kutoka mbinguni?Hatuna magaidi nchini na hatujafikio huko...
Tukio lolote la namna hilo likitokea tunajua ni wao...
Cc: mahondaw
Mkuu sisi kuwahoji wamarekani si akili, ni ubabe utakaotuumiza. Ni sawa na swala kwenda kuwahoji simba ni kwanini wamemrarua mwenzao. Tunajua kwann wamefanya hivi, tunazijua tabia zao. Sasa hapa kwanza ni kukanusha taarifa yao, kuwahakikishia kimaandishi kuwa nchi yetu mambo ni Safi sana na ikiwezekana kuwapa watoto na Wazee wao punguzo kubwa wakitembelea nchi yetu kitalii. Kuomba ushirikiano wa kiintelinjsia kama Kuna tishio ambalo halijatokea na sisi hatujaliona Ila wao wameliona na pia kuwashukuru kwa mchango mkubwa waliouonyesha huko nyuma kwa taifa letu. Halafu unakaa unawaangalia watatujibu nini.Hii tarifa kama ni ya kweli, serikali ilifanyie kazi suala hili
Americans hua wanafanya hivi ili kuleta panic katika nchi, wananchi wasiviamini vyombo vyao vya ulinzi
Cha kufanya serikali iwaite watu wa ubalozi wa marekani na wahojiwe effectively ili waseme hizi tarifa wametoa wapi?
Na ikibainika kwamba ni uongo, serikali iufunge ubalozi wa marekani
Hawa jamaa wameharibu nchi nyingi sana kwa ujinga wao huu, wa kupandikiza magaidi na kujifanya wana tarifa za kiintelijensia
Kama wao ni smart sana walishindwaje kuzuia ubalozi wao usilipuliwe mwaka 98, maana hata hints hawakua nazo.
WordHawa Jamaa wananusa Mbali, wameisha nusa Mbali! Ngoja tuendelee Kusubiria!
.Hawa ni wa kufukuza, wanajaribu kuleta taharuki za kijinga kwa kila nchi inayowakataa
**** the Americans.
.Hawa Jamaa wananusa Mbali, wameisha nusa Mbali! Ngoja tuendelee Kusubiria!