Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Hivi Pascal unaona mchina ni rafiki wa kweli au? Acha kuongea vitu rahisi nakuambia, hata kama unataka post ongea unachokiamini sio unachokifikiri!! Ok number haziongopi!
Mkuu Gullam, naona umekuwa Sheikh Yahaya kwa kutabiri ninachoamini sio ninachofikiri. Kwa sasa Tanzania tunafuata diplomasia ya kiuchumi, rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia. Nchi inayoongoza kwa kuisaidia Tanzania ni China,
Mimi nitakutajia misaada ya Uchina, wewe unitajie
ya kwa msaada wa watu wa Marekani
1. Tazara
2. CCM Chimwaga
3.Flyover ya Mfugale
4. Daraja la Kigamboni,
5. Bomba la Gesi
6. Ukumbi wa Mikutano wa JKNICC
7. Makataba mpya UDSM
8.Kiwanda cha Urafiki
9. Ubungo Interchange
10. Tuna mpango wa kuwabinafshia serikali yetu watuendeshee.

Wewe nitajie hao Wamarekani wanetusaidia nini?
P
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.
=========


Exercise increased caution in Tanzania due to crime, terrorism, and targeting of LGBTI persons.

Violent crime, such as assault, sexual assault, express kidnapping, mugging, and carjacking, is common. Local police may lack the resources to respond effectively to serious crime.

Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania. Terrorists may attack with little or no warning, targeting embassies, police stations, mosques, and other places frequented by Westerners.

Members of the LGBTI community have been arrested, targeted, harassed, and/or charged with unrelated offenses. Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations.

Read the Safety and Security section on the country information page.

If you decide to travel to Tanzania:
  • Always carry a copy of your U.S. passport and visa and keep original documents in a secure location.
  • Be aware of your surroundings.
  • Do not leave your food or drink unattended.
  • Stay alert in all locations, especially those frequented by Westerners.
  • Avoid public displays of affection particularly between same-sex couples.
  • Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.
Follow the Department of State and the US Embassy in Tanzania on Facebook and Twitter Review the Crime and Safety Report for Tanzania.

U.S. citizens who travel abroad should always have a contingency plan for emergency situations. Review the Traveler’s Checklist.

Souce: Tanzania Travel Advisory
Maazimio wa Zanzibar hayo😂😂😂😂😂
 
Mkuu Gullam, naona umekuwa Sheikh Yahaya kwa kutabiri ninachoamini sio ninachofikiri. Kwa sasa Tanzania tunafuata diplomasia ya kiuchumi, rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia. Nchi inayoongoza kwa kuisaidia Tanzania ni China,
Mimi nitakutajia misaada ya Uchina, wewe unitajie
ya kwa msaada wa watu wa Marekani
1. Tazara
2. CCM Chimwaga
3.Flyover ya Mfugale
4. Daraja la Kigamboni,
5. Bomba la Gesi
6. Ukumbi wa Mikutano wa JKNICC
7. Makataba mpya UDSM
8.Kiwanda cha Urafiki
9. Ubungo Interchange
10. Tuna mpango wa kuwabinafshia serikali yetu watuendeshee.

Wewe nitajie hao Wamarekani wanetusaidia nini?
P
Sio misaada hiyo, ni mikopo mkuu. Halafu usiwele habari za chimwaga Dodoma. Huo ukumbi wa CCM sio wa serikali.
 
Mkuu Gullam, naona umekuwa Sheikh Yahaya kwa kutabiri ninachoamini sio ninachofikiri. Kwa sasa Tanzania tunafuata diplomasia ya kiuchumi, rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia. Nchi inayoongoza kwa kuisaidia Tanzania ni China,
Mimi nitakutajia misaada ya Uchina, wewe unitajie
ya kwa msaada wa watu wa Marekani
1. Tazara
2. CCM Chimwaga
3.Flyover ya Mfugale
4. Daraja la Kigamboni,
5. Bomba la Gesi
6. Ukumbi wa Mikutano wa JKNICC
7. Makataba mpya UDSM
8.Kiwanda cha Urafiki
9. Ubungo Interchange
10. Tuna mpango wa kuwabinafshia serikali yetu watuendeshee.

Wewe nitajie hao Wamarekani wanetusaidia nini?
P
Satire, isn't it? Unasahau kule sir Lanka na Zambia wamejibinafsishia miundombinu waliyoijenga kwa mkopo ili kujirejeshea mkopo na riba yao? Chinese are not fool brother! Wawazie mara mbili ndio maana hata huko USA wanapigwa vita kwa wizi wa technology na bidhaa fake!
Kama ni kebehi basi wewe ni ngunguri wa kebehi!
 
Hii tarifa kama ni ya kweli, serikali ilifanyie kazi suala hili

Americans hua wanafanya hivi ili kuleta panic katika nchi, wananchi wasiviamini vyombo vyao vya ulinzi

Cha kufanya serikali iwaite watu wa ubalozi wa marekani na wahojiwe effectively ili waseme hizi tarifa wametoa wapi?

Na ikibainika kwamba ni uongo, serikali iufunge ubalozi wa marekani

Hawa jamaa wameharibu nchi nyingi sana kwa ujinga wao huu, wa kupandikiza magaidi na kujifanya wana tarifa za kiintelijensia

Kama wao ni smart sana walishindwaje kuzuia ubalozi wao usilipuliwe mwaka 98, maana hata hints hawakua nazo.
Funga kabisa...jiwe soma hapa
 
Mkuu Gullam, naona umekuwa Sheikh Yahaya kwa kutabiri ninachoamini sio ninachofikiri. Kwa sasa Tanzania tunafuata diplomasia ya kiuchumi, rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia. Nchi inayoongoza kwa kuisaidia Tanzania ni China,
Mimi nitakutajia misaada ya Uchina, wewe unitajie
ya kwa msaada wa watu wa Marekani
1. Tazara
2. CCM Chimwaga
3.Flyover ya Mfugale
4. Daraja la Kigamboni,
5. Bomba la Gesi
6. Ukumbi wa Mikutano wa JKNICC
7. Makataba mpya UDSM
8.Kiwanda cha Urafiki
9. Ubungo Interchange
10. Tuna mpango wa kuwabinafshia serikali yetu watuendeshee.

Wewe nitajie hao Wamarekani wanetusaidia nini?
P
Hujui wamarekani wametusaidia nini? Au umeamua tu, ngoja nikuache na misaada yako kutoka China!
 
Nyie wangese bavicha mamãe zenu
Umepanic kwa lipi sasa ilihali mwali kakukataa! Uongozi ni kipaji na talanta babu na siyo misuli! Utatukana hadi wakweo kwa kukosa busara ma hekima!
Itisheni kikao cha wazee wakushaurini jinsi ya kucoop na majirani msishupaze shingo!
 
Nakuelewa sana mkuu, ila elewa matokeo ya wanachokifanya tafsiri yake ni ugaidi.

Vipi kama kikitokea kikundi kikaanza kuteka viongozi wa serikali kwa mtindo huohuo kwa mfululizo itakuwaje?

Matukio kama kushambuliwa kwa Tundu lisu na yule mfanyabiashara wa Mwanza tuyatafsirije?

Serikali yoyote duniani ikikosana na wananchi wake matokeo yake ni kutengeneza mianya ya kuruhusu makundi ya kigaidi kujijenga na kuingia kwenye nchi husika

Kwa sasa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwa watanzania jambo ambalo linayafanya mataifa ya magharibi yachekelee tu yakijua kwamba siku yakiamua kufanya hii nchi isitawalike ni rahisi sana.

Kama chadema waliweza kupata zaidi ya kura milioni 6 unafiki kundi hilo lote linachukuliaje vitendo wanavyotendewa viongozi wao na baadhi ya wanachama wenzao? Kundi hilo ni watanzania na wapo karibia kila kaya hapa nchini, kuna hawa wastaafu wanatungiwa sheria za kipumbavu, kuna watu wa kanda fulani waliambiwa na kiongozi wa nchi kwamba, ndani ya utawala wake maendeleo kwao watasubiri, wengine walipewa upendeleo kwa kuwa ndio walimuweka madarakani eti!
Kuna kauli nyingi tata ambazo Watanzania wanazo vichwani mwao.

Mambo hayo yote yameleta mgawanyiko mbaya kwenye jamii ya Watanzania huku yakifumbiwa macho alafu leo hii litokee tatizo waanze kutaka wananchi wawe wamoja ilihali wameshawekwa kimatabaka.
Mataifa yaliyoshindana na mataifa ya magharibi yakashinda, kwanza kabisa yalianza kuwaunganisha wananchi wao ndipo yakaanza kupigana vita vya kujikomboa kutoka kwao.

Tunachokiona Tanzania ni tofauti.

Kwanza serikali iliyopo madarakani imefarakana na wananchi kwa kiasi kikubwa hadi kufikia asilimia kubwa ya wananchi kutamani mataifa hayo kuingilia kati
Nimefuatilia huu uzi tokea mwanzo ila hapa nimeelewa vilivyo. Tafadhali mkuu nishauri nn nifanye ili tanzania iwe kitu kimoja
 
Sio misaada hiyo, ni mikopo mkuu. Halafu usiwele habari za chimwaga Dodoma. Huo ukumbi wa CCM sio wa serikali.
Kama unaamini CCM na serikali ni vitu viwili tofauti, endelea kuamini hivyo.
Mimi nijuavyo CCM ni chama dola ndicho kilichoshika hatamu kuongoza serikali na CCM itatawala milele.
P
 
Tujitaidi kurudisha Uhusiano mzuri na nchi za Magharibi badala ya kuendeleza marumbano ambayo hayatatusaidia.Swala la ushoga should not be treated as scapegoat kwa kuwa. watanzania wengi ni wastaarabu na wacha Mungu.Mwalimu Nyerere alikuwa ni mujamaa na mfuasi wa chama kimoja lakini alifika mahara akakubari kuwa mfumo wake wa chama kimoja kuwa VANGARD PARTY hautaleta ufanisi wa maendeleo bila kuwepo na ushindani.Sasa ndugu zangu tusipuuze ushauri kwani 'AN IDEA IS A BABY PLEASE KINDLY TREAT IT KINDLY
 
Back
Top Bottom