lisu anaungiaje kwenye jukwaa lakimataifa ,lisu kaharibu matumbo yenu kila mkiona kichaka mnataka...Hahaha lissu akiona hivi anaanza kupiga ngumi ukuta
Wasaliti wa Nchi hawana nafasi Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lisu anaungiaje kwenye jukwaa lakimataifa ,lisu kaharibu matumbo yenu kila mkiona kichaka mnataka...Hahaha lissu akiona hivi anaanza kupiga ngumi ukuta
Wasaliti wa Nchi hawana nafasi Tanzania
Muulize mama yako ndio ananijua vizuri atakupa habari kamili.We umeshaolewa?
Ukimuona Lisu anavyowashobokea utamuonea hurumaHao ndio watetezi wa haki za binadamu duniani ambao ni marufuku kabisa kuguswa na chombo chochote siku zote hao wanatakiwa waachwe tu wafanye chochote hata Kama ma Askari wao wanabaka ma binti za watu huko wanakolinda amani lakini ni marufuku kabisa kuchunguzwa.
Ban zinasaidia sana kutupunguzia upuuzi jukwaaniHahaha lissu akiona hivi anaanza kupiga ngumi ukuta
Wasaliti wa Nchi hawana nafasi Tanzania
Kwenye huu uzi naona umemtaja Lisu zaidi ya mara 4 tena katika vitu visivyokuwa na msingi, alikupa mimba akakacha au nini cha zaidi?Rafiki zake na lissu hoi