Marekebisho ya sheria: inaenda kuuwa dhana watu wote kuwa sawa mbele ya sheria. Jaji akikuhukumu ndivyo sivyo anakuwa na kinga huna cha kumfanya

Marekebisho ya sheria: inaenda kuuwa dhana watu wote kuwa sawa mbele ya sheria. Jaji akikuhukumu ndivyo sivyo anakuwa na kinga huna cha kumfanya

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
IMG_20200607_101709.jpg


MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA NAMBA 3(2020): UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA UMMA

Watumishi wa Mahakama na Viongozi wa juu wa nchi wanapopewa kinga dhidi ya mashtaka hata kwa makosa ya uvunjifu wa #Katiba, wanapewa mwanya wa kukiuka viapo vyao vya kuilinda Katiba.

Hii inatengeneza tabaka la watumishi wa umma walio juu ya Sheria ambayo ni kinyume na Ibara ya 13 ya Katiba ya Tanzania

> Aidha, marekebisho husika hayatoi sababu yoyote ya kinga kwa watumishi husika.

#Muswada2020 https://t.co/6svE3U6xHH
 
Wenye nchi wameshaamua kujiwekea kinga ya kutoshitakiwa, sisi raia wa kawaida hatuna cha kufanya na hata tukipinga hakuna wa kutusikiliza.
 
Bunge lina endelea kutumika kuimarisha Utawala wa ki'Sultani ,Haki tulizo pewa kwa Mlango wa mbele (Katiba) zime / zina nyofolewa tena kwa Mlango wa nyuma.Matokeo ya haya ni makubwa na tutarajie maamuzi ya hovyo ktk mambo Muhimu.
 
Back
Top Bottom