Margaret Kenyatta among 10 Most Beautiful First Ladies in Africa (2014)

Margaret Kenyatta among 10 Most Beautiful First Ladies in Africa (2014)

Huu ni uongo mtupu! Hiyo list itakuwa katunga mkenya. Kamwe margaret kenyatta hawezi kuja kabla ya mke wa Kagame au hata firstlady wa Madagascar!
 
Labda wameangalia First Ladies wembamba not miss Bantus otherwise kuna wasio staili
 
Sasa naelewa kwanini Waafrika wanapenda wanawake wanaojikoroga.

Wakiwa nazo kidogo wanatafuta weupe wakiwa hawana hata aliyejikoroga anafaa.

Utumwa upo ndani ya vichwa vyetu.

Leo umenena ukweli kwa mara nyingine Dada ,mbona mifano ipo hapa hapa Tz mathalana huyu mzee wa miaka 72. 90-72= ? if...
 

Attachments

  • mama watoto.jpg
    mama watoto.jpg
    163.1 KB · Views: 307
nyie mmeangalia uwo weupe au vigezo gani vimetumika maana hakuna hata blackbeauty ambaye ni firstlady au gueen
 
kuna mama kanitisha hapo sitamani tena kutazama list hii
 
Vigezo vikuu ni kuwa mweupe hapa

mkuu asilimia kubwa ya beauties ni weupe(lakini sio kwa mkorogo) naturally , hali kadhalika asilimia kubwa ya handisomes ni weupe.Hata ukipinga!
Sura mbaya vinahusiana na weusi au weusi unaweza kukazia ubaya wa mtu.Mfano ni Wassira, au Pinda!
 
virse versa,,,sioni muafrika ..alla are muzunus except kenyan lady
 

Bibie asilimia kubwa ya beauties(wanawake) ni weupe(lakini sio kwa mkorogo) naturally , hali kadhalika asilimia kubwa ya handisomes(wanaume) ni weupe.Hata ukipinga!
Sura mbaya vinahusiana na weusi au weusi unaweza kukazia ubaya wa mtu.Mfano ni Wassira, au Pinda!

Sasa Jiulize kwanini ninyi wanawake mnapaka mikorogo? na sio kwa waafrika tu!Jibu ni kwamba weupe unakazia au unaongeza uzuri!
 
Bibie asilimia kubwa ya beauties(wanawake) ni weupe(lakini sio kwa mkorogo) naturally , hali kadhalika asilimia kubwa ya handisomes(wanaume) ni weupe.Hata ukipinga!
Sura mbaya vinahusiana na weusi au weusi unaweza kukazia ubaya wa mtu.Mfano ni Wassira, au Pinda!

Sasa Jiulize kwanini ninyi wanawake mnapaka mikorogo? na sio kwa waafrika tu!Jibu ni kwamba weupe unakazia au unaongeza uzuri!

Anaejipaka mkorogo hajiamini.

Black is beauty.
 
Hawa waongo hivi chombo kama cha Zuma kitakosaje humu!!!
 
Hayo ni maisha tu,
Hata mie zingenitembelea chenji za kutosha ningetokelezea hata kuwapita hao.
 
kuna warais wengine wameoa bibi kwa mamia na utaniambia mmoja wao hawangekuwa kwenye top 10?
naona kuwa hawa ni wabibi tu kwa jina lakini baba akilitia manyuki...sio hawa wanampelekea...
kama umunielewa haha
 
Mirror, mirror, on the wall, who's the
fairest of them all? Maggy bila shaka! Beyond zero bare witness.
 
Back
Top Bottom