Wickama
JF-Expert Member
- Mar 8, 2009
- 1,466
- 1,196
Miaka ya nyuma, makanisa mengi Ulaya yalikuwa na michoro ya Mama wa Yesu (Bikira Maria) na hata Yesu mwenyewe wakionyeshwa kama wenye muonekano wa asili ya kiafrika.
Hivi majuzi pia Pope Benedict na Francis walionekana wakisali mbele ya mchoro kama huo. JEE, Hivi INAWEZEKANA KWELI KWAMBA MARIAMU NA MWANAYE WALIKUWA WEUSI? Yesu akirejea (ukiristo na uislamu) kama mtu mweusi haitakuwa kizaazaa kwa wabaguzi wa rangi? Tuchangie.
https://www.google.co.tz/search?q=b...Fblack-madonna-and-child-in-europe%2F;512;470
Hivi majuzi pia Pope Benedict na Francis walionekana wakisali mbele ya mchoro kama huo. JEE, Hivi INAWEZEKANA KWELI KWAMBA MARIAMU NA MWANAYE WALIKUWA WEUSI? Yesu akirejea (ukiristo na uislamu) kama mtu mweusi haitakuwa kizaazaa kwa wabaguzi wa rangi? Tuchangie.
https://www.google.co.tz/search?q=b...Fblack-madonna-and-child-in-europe%2F;512;470