Maria na Mwanaye Yesu, Mbona michoro inasema walikuwa Weusi ?

Maria na Mwanaye Yesu, Mbona michoro inasema walikuwa Weusi ?

Status
Not open for further replies.
hili jukwaa wakati mwingine hata linabebeshwa mizigo isiyo yake, hii thread haijakamilika kwa ajili ya kujadiliwa lakini iko hapa!! lete facts za kihistoria watu wajadili, siyo picha za sanamu bila historia nani alizichonga katika miaka ipi ili watu wapate kushughulisha akili na kupekuwa chanzo. historia ya yesu na ukoo wake inajulikana, kabila na asili yake inajulikana, kama una fact tofauti na zijulikanazo ungefafanua hapa ukawa mwanzo mzuri wa mjadala!

Huyo jamaa hujamwelewa tu. Mrengo wa mada yake tuneshaujua.........Anataka mjadala wa waislamu wanaokasirika mtume wao kuchorwa....anataka kusema kwamba mbona wao Yesu na mama yake wameshachorwa kama waafrika na pengine kama wazungu wakristo duniani hawajakasirika.....! Ndo anakokwenda jamaa yetu......
 
huyo jamaa hujamwelewa tu. Mrengo wa mada yake tuneshaujua.........anataka mjadala wa waislamu wanaokasirika mtume wao kuchorwa....anataka kusema kwamba mbona wao yesu na mama yake wameshachorwa kama waafrika na pengine kama wazungu wakristo duniani hawajakasirika.....! Ndo anakokwenda jamaa yetu......


bahati nzuri upo 100% wrong!!!!
 
kumbe unajua kiingereza.


Hata mimi alinistua kwanza kulaani matumizi ya kiingereza kisha mdau yeye mwenyewe anamwaga umombo!!!!!! (hahahahaha...)
lusungo,
 
Last edited by a moderator:

bahati nzuri upo 100% wrong!!!!

Niko wrong kwa sababu unawachokoza wakristo. Unamwonesha Papa akiabudu sanamu la mtu mweusi.....Unakuwa unamaanisha nini? Unataka kuamsha hasira zao?
 
Huyo jamaa hujamwelewa tu. Mrengo wa mada yake tuneshaujua.........Anataka mjadala wa waislamu wanaokasirika mtume wao kuchorwa....anataka kusema kwamba mbona wao Yesu na mama yake wameshachorwa kama waafrika na pengine kama wazungu wakristo duniani hawajakasirika.....! Ndo anakokwenda jamaa yetu......
Malyenge, nadhani ni vizuri nikakuondosha hofu na hata wengineo. Lengo la hii post sio kuchonganisha malumbano ya dini kuu mbili (ukiristo na uislamu). Hapana. Lengo ni kuibua mjadala wa sisi kama WATU weusi kujitambua kuwa wenzetu wenye muonekano kama sisi huko zamani hawakuwa dhalili kama tunavyojidhani. Kwamba kuna wakati walitawala karibu dunia nzima (Kina Nimrod wa Cush). Ni kuibua visa vyenye ushahidi kuwa mahali fulani katika historia yetu kuna wenzetu (haswa wa ulaya) ambao wamekua wakituibia Identity yetu na sifa zetu kujipachika wao.

Itakuwa ni matumizi mabaya ya wakati na online resources kama mtu atatumia jukwaa hili kuzirushia dini jirani makombora.

cc Eiyer, Rene Jr. Mkuu wa chuo, lusungo, illuh,
 
Last edited by a moderator:
Malyenge, nadhani ni vizuri nikakuondosha hofu na hata wengineo. Lengo la hii post sio kuchonganisha malumbano ya dini kuu mbili (ukiristo na uislamu). Hapana. Lengo ni kuibua mjadala wa sisi kama WATU weusi kujitambua kuwa wenzetu wenye muonekano kama sisi huko zamani hawakuwa dhalili kama tunavyojidhani. Kwamba kuna wakati walitawala karibu dunia nzima (Kina Nimrod wa Cush). Ni kuibua visa vyenye ushahidi kuwa mahali fulani katika historia yetu kuna wenzetu (haswa wa ulaya) ambao wamekua wakituibia Identity yetu na sifa zetu kujipachika wao.

Itakuwa ni matumizi mabaya ya wakati na online resources kama mtu atatumia jukwaa hili kuzirushia dini jirani makombora.

cc Eiyer, Rene Jr. Mkuu wa chuo, lusungo, illuh,

Wakatoliki waligeza Miungu weusi wa wamisri Isis na Osiris ambao waliingizwa kwenye cult ya virgin Mary.Wakati huo huyu Mungu mweusi ndiye Alikuwa anaabudiwa na wazungu.Lakini baadae walimbadilisha rangi.
 
Last edited by a moderator:
Ukiangalia hadithi za wamisri za Isis na Osiris zinafanana sana Na za wakristo za kufa na kufufuka kwa yesu
 
ILA HUU NI UKWELI USIOFICHIKA ukitafakari sana wakati mwingine unaweza ukawa wapata dhambi..

Inamaana Mitume woote walio andikwa katika Biblia (Kwa mimi ninaamini ndio hao hao waliopo katika Qur'an) kwani ni majina tuu ya kizungu linakuwa hivi, na kwakiarabu linakuwa vile ila ndio wale wale na historia zao za maisha ndizo zile zile. JE nachokitafakari ni kuwa...inamaana hawa wooote walikuwa weupe wa nchi hizo za Israel, Palestina nk. Hakuna hata mmoja aliyetoka Africa?

Na je Kabla ya kuja waarabu na wazungu sisi hatukuwa na dini hizi..Je inamaana sisi ni watu wa aina gani tulikuwa...? Inamaana tulikuwa na dhambi sana? Wenzetu walishaanza kujitakasa kwa Mungu muda mrefu sanaee!!


Pia Je mbona katika dunia sasa wao ndio wamekuwa wakiukaji wa Dini hii waliyoitangaza kwa kwenda kinyume na Maadili ya dini kuliko sisi tulioiga kwao?

Luqman alikua mwafrica wa Misri ya zamani na Msudani kusini ya Leo, kwa kabila alikua mnubi,, Luqman ametajwa kwenye qoran hususan alipokua akimuusia mwanae kuhusu kumcha Mungu
 
Niko wrong kwa sababu unawachokoza wakristo. Unamwonesha Papa akiabudu sanamu la mtu mweusi.....Unakuwa unamaanisha nini? Unataka kuamsha hasira zao?

Utaniwia radhi kama nimeku-offend. Nadhani wewe unaongelea hii video. Fafanua ni vipi kinaku-offend. Ni picha ya black madonna? Au ni video wakiwa kwenye maombi? au ulitaka iwe siri?


 
Last edited by a moderator:
lusungo, naomba nikupe mchango wangu. Naona hujaridhika na majibu yaliyotangulia. Kuna njia nyepesi ya kujua rangi za/ya wahusika (Yesu na mama Yake):

1. Anza na watoto wa Nuhu baada ya gharika. Kuna mtoto wa Nuhu anaitwa HAM. Huyu ndiye mzazi wa watu WEUSI. Watoto wake 4 walikuwa Cush aliyekaa maeneo ya Ethiopia, Mizraim (Misri), Phut (Libya), Canaan (Canaan/Palestine/current israel region, Hayo maeneo hadi leo yana watu weusi wazawa asilia (kuna hata black palestinians-bahati mbaya wengi wanadhani walienda huko kwa utumwa-NO, wao ndio indigenous people, descendants wa Mtoto wa Nuhu, Caanan)

2. Kwa maana hiyo Maria na Yesu walizaliwa eneo la mtoto wa HAM (Caanan) ambalo watu walikuwa na rangi nyeusi/za kiafrika (caanan)

3. Wakazi wa Caanan na wale wa Misri walikuwa wanafanana sana kwa umbile na rangi. Hakuna anaye bisha kuwa wakazi wa Misri walikuwa rangi gani. Walikuwa Weusi.

220px-Ahmes_Nefertari_Grab_10.JPG

Queen Ahmose-Nefertari, wife of Pharaoh Ahmose I. 1562–1495 BC.

Kuna visa 3 ambavyo mtu/watu wana-confuse waCaanan na Wamisri (ndugu zake nabii Yusuf-Joseph walishindwa kumtofautisha ndugu yao waliomtosa kisimani ili afe na wamisri (Genesis 42:8); mabinti wa Midian walimdhani nabii Musa ni Mmsiri(Exodus 2:19); Mgiriki mmoja alimdhani apostel Paul kuwa ni Mmsiri (Acts 21:38 Aren't you then the Egyptian who before.......) hali ya kuwa walikuwa waisrael/wacanaan.

Ni kwa sababu hizi za kufanana ndio maana hata Yesu alitoroshewa Misri ili asiuliwe na mfalme adui. Isingewezekana mtoto wa kizungu kujificha miongoni mwa wenzake weusi. Wala hamna sababu za msingi za kumdhani Maria na Yesu kuwa WAO WAWILI wangekuwa na muonekano tofauti na Wa-caana wenzao ambao walikuwa wakifanana na wamisri.

4. Sasa, Ukisoma Ufunuo 1:14-15 Yesu ameelezewa mwenye nywele kama sufi/WOOL. Ni watu weusi peke yao wenye WOOLEN hair His Hair was like the Wool on a Sheep Skin…(Rev 1:14) | Rasta Livewire. Kisha imetajwa kuwa miguu yake ilikuwa kama BRASS iliyokaa kwenye tanuru muda mrefu. Inajulikana sana kwamba BRASS ikikaa kwenye moto muda mrefu huwa inageuka rangi na kuwa NYEUSI https://books.google.co.tz/books?id...wCA#v=onepage&q=heated brass is black&f=false



Kuna wengi huwa wanauliza Does the color of Jesus really Matter. Unfortunately the answer is YES. Because he is deemed to return in his original colour. And millions of unknowing people will potentially deny him because they had been MISLED.


cc Eiyer, illuh,

Fake fake fake....acha kudanganya. Jews comes from Eberi mwana wa Shemu mwana wa Nuhu....Wayahudi hawatokani na Hamu bali wanatokana na Shemu.

Haya yote uliyoyaandika si kweli
 
Fake fake fake....acha kudanganya. Jews comes from Eberi mwana wa Shemu mwana wa Nuhu....Wayahudi hawatokani na Hamu bali wanatokana na Shemu.

Haya yote uliyoyaandika si kweli

Genesis 10 - The Table of Nations

1. (1) The three sons of Noah: Shem, Ham, and Japheth.

B. The descendants of Ham.

1. (6) The sons of Ham: Cush, Mizraim, Put, and Canaan.

The sons of Ham were Cush, Mizraim, Put, and Canaan.

a. Ham: The descendants of Ham are the peoples who populated Africa and the Far East.

4. (15-19) The sons of Canaan.

"............................ Afterward the families of the Canaanites were dispersed. And the border of the Canaanites was from Sidon as you go toward Gerar, as far as Gaza; then as you go toward Sodom, Gomorrah, Admah, and Zeboiim, as far as Lasha.

Source: Genesis 10 - The Table of Nations

Mkuu, hebu toa msaada, Ni kweli au siyo kweli kuwa Noah hakuwa na mtoto anaitwa CAANAN? Ukoo wa huyu mtoto uliishi wapi? Mbona GAZA inatajwa. Kama watoto wa Caanan ni ndugu na watoto wa Mizraim/ Cush, Phut, sasa ajabu ya wao kufanana ni ipi? Sikumbuki kuongelea Jews
 
AsUshauri wangu tafuta ingili ya barnaba hii itakupa jibu zuri
 
Duh sasa mbona katundikwa kwenye msaraba na kavishwa nap mungu wa a in a gani huyo atakae kubali madhila tote mfanyie kikwete uone atakubali tumia akili yako pumbavu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom