lusungo, naomba nikupe mchango wangu. Naona hujaridhika na majibu yaliyotangulia. Kuna njia nyepesi ya kujua rangi za/ya wahusika (Yesu na mama Yake):
1. Anza na watoto wa Nuhu baada ya gharika. Kuna mtoto wa Nuhu anaitwa HAM. Huyu ndiye mzazi wa watu WEUSI. Watoto wake 4 walikuwa Cush aliyekaa maeneo ya Ethiopia, Mizraim (Misri), Phut (Libya), Canaan (Canaan/Palestine/current israel region, Hayo maeneo hadi leo yana watu weusi wazawa asilia (kuna hata black palestinians-bahati mbaya wengi wanadhani walienda huko kwa utumwa-NO, wao ndio indigenous people, descendants wa Mtoto wa Nuhu, Caanan)
2. Kwa maana hiyo Maria na Yesu walizaliwa eneo la mtoto wa HAM (Caanan) ambalo watu walikuwa na rangi nyeusi/za kiafrika (caanan)
3. Wakazi wa Caanan na wale wa Misri walikuwa wanafanana sana kwa umbile na rangi. Hakuna anaye bisha kuwa wakazi wa Misri walikuwa rangi gani. Walikuwa Weusi.
Queen Ahmose-Nefertari, wife of Pharaoh Ahmose I. 15621495 BC.
Kuna visa 3 ambavyo mtu/watu wana-confuse waCaanan na Wamisri (ndugu zake nabii Yusuf-Joseph walishindwa kumtofautisha ndugu yao waliomtosa kisimani ili afe na wamisri (Genesis 42:8); mabinti wa Midian walimdhani nabii Musa ni Mmsiri(
Exodus 2:19); Mgiriki mmoja alimdhani apostel Paul kuwa ni Mmsiri (
Acts 21:38 Aren't you then the Egyptian who before.......) hali ya kuwa walikuwa waisrael/wacanaan.
Ni kwa sababu hizi za kufanana ndio maana hata Yesu alitoroshewa Misri ili asiuliwe na mfalme adui. Isingewezekana mtoto wa kizungu kujificha miongoni mwa wenzake weusi. Wala hamna sababu za msingi za kumdhani Maria na Yesu kuwa WAO WAWILI wangekuwa na muonekano tofauti na Wa-caana wenzao ambao walikuwa wakifanana na wamisri.
4. Sasa, Ukisoma Ufunuo 1:14-15 Yesu ameelezewa mwenye nywele kama sufi/WOOL. Ni watu weusi peke yao wenye WOOLEN hair
His Hair was like the Wool on a Sheep Skin
(Rev 1:14) | Rasta Livewire. Kisha imetajwa kuwa miguu yake ilikuwa kama BRASS iliyokaa kwenye tanuru muda mrefu. Inajulikana sana kwamba BRASS ikikaa kwenye moto muda mrefu huwa inageuka rangi na kuwa NYEUSI
https://books.google.co.tz/books?id...wCA#v=onepage&q=heated brass is black&f=false
Kuna wengi huwa wanauliza Does the color of Jesus really Matter. Unfortunately the answer is YES. Because he is deemed to return in his original colour. And millions of unknowing people will potentially deny him because they had been MISLED.
cc
Eiyer,
illuh,