Siyo Beyonce tu.Ameishitaki serikali kwa taasisi na watu wote wakubwa waliowahi kuja Ngorongoro.Ni wengi sana,kina Bilgate,Melinda,na wengine wengi.Anasema Rise your voice to help the voiceless.Ni katika muemdelezo wa sakata la wamasai wa Ngorongoro.
Bi Maria Sarungi ambaye ndiye mtu namba moja aliesimama kwa hali na mali kuwapigania Wamasai wa Ngorongoro ameamua kuishtaki serikali ya Tanzania kwa Mwanadada Beyonce na mumewe Jay Z.
Vita ya uchumi ni mbaya sana.
View attachment 2265420
Ananufaikaje na haya anayo yafanyaSio Boho
Siyo Beyonce tu.Ameishitaki serikali kwa taasisi na watu wote wakubwa waliowahi kuja Ngorongoro.Ni wengi sana,kina Bilgate,Melinda,na wengine wengi.Anasema Rise your voice to help the voiceless.
Yeye ni mwanaharakati.Kwa hiyo ,kuna utetezi wanaofanya na wanapata malipo yao.Ananufaikaje na haya anayo yafanya
unajua mpango wa masai kuamishwa ngorongoro ulianza mwaka gani?Wamasai Ni moja ya vivutio hapo Ngorongoro
Yuko sahihi
Kama movie ya Royal Tour , hakuleta matekeo yoyote Basi Samia hajui lolote kuhusu Utalii.
Na hii kitu ita chafua sekta ya utalii
Tumjibu kwa hoja.
Kumdhalilisha haibadilishi anachosimamia.
Sana sana inaonekana tushaanza kupanic kwa hoja zake
Jiga alikujaga lini hapaNi katika muemdelezo wa sakata la wamasai wa Ngorongoro.
Bi Maria Sarungi ambaye ndiye mtu namba moja aliesimama kwa hali na mali kuwapigania Wamasai wa Ngorongoro ameamua kuishtaki serikali ya Tanzania kwa Mwanadada Beyonce na mumewe Jay Z.
Vita ya uchumi ni mbaya sana.
View attachment 2265420
Hana matatizo ya akili,anasema ukweli.Kama ndugu zako wa damu wangekuwa wanafanyiwa hivyo ,ungefurahi?Hili suala ,watanzania wengi wapi kimya,lakin litaleta chuki Sana kwa serikali ya CCM.Ana matatizo ya akili huyu dada hili ni taifa huru lina sera na sheria zake za ndani katika kufanya mambo yake.
Hoja yako Mbona hatuioni ?Unaongea kuwa Maria Hana hoja.Sawa yako ni ipi?Huyo hajawahi kuwa na hoja. Anaropoka tuu bila kutumia akili. Sema kinachomfanya apate attention ni jina la baba yake tu. Lkn nje ya hapo is just normal pumpkin.
kama wanakaidi kuhama kwa hiyari wafanywejeNaunga mkono hoja, Raise your voice to help the voiceless.
Wamasai wanalazimishwa kuondoka Ngorongoro kwa vipigo huku serikali ikitudanganya na maandamano feki ya "wamasai wa mjini"
Kumfurahisha mjomba kusiwaumize wamasai.
Yaan haujui hata kinachoendelea huko Ngorongoro?Basi tuishue hapo.Nashukuru kwa mchango wako.wanafanyiwaje?