Maria Sarungi aishtaki Serikali ya Tanzania kwa Beyonce kuhusu suala la Ngorongoro

Maria Sarungi aishtaki Serikali ya Tanzania kwa Beyonce kuhusu suala la Ngorongoro

Wamasai Ni moja ya vivutio hapo Ngorongoro

Yuko sahihi

Kama movie ya Royal Tour , hakuleta matekeo yoyote Basi Samia hajui lolote kuhusu Utalii.
Na hii kitu ita chafua sekta ya utalii
Ngorongoro masai yupi kahamishwa kwa nguvu? Pia hiyo picha aliyoitumia siyo ya wamasai waloliondo anaodai kuwa wanahmishwa kwa nguvu, kwa asiyeelewa anaweza kufikiri kuwa jamii nzima ya wamasai wanahamishwa kwenye makazi yao kwa nguvu.
 
Mbona nikama wewe ndo umeandika utoto.Jielimishe kwanza alichokua amekikusudia kukiwakilisha kwa jamii .sio mambo yakuchapana kama alivyowaza wewe kitoto.
Kujielimisha tena! Maasai must Go ndani ya Hifadhi ya Ngoro Ngoro na sababu zipo wazi, wakaanze makazi mengine Handeni na yameshatayarishwa,
Wanyama wanatosha kwenye utalii kama ishu ni Utalii muwapeleke hao Watalii wenu Tandale kwa Mtogole wakajionee mafundi simu wanaosinzia huku wamesimama.
 
Wasiondoe masai wote but wapunguze idadi tu. Masai ni urithi wa Dunia
 
hatukatai kwamba ni vivutio ila ndo wajenge kabisa hadi mpesa ungekuja miaka mitano mbele ule ni mji kabisaa , hadi bar zipo bora walivyo waondoa tu kama ni vivutio wataajiriwa wachache tu kama walinzi eneo lile jioni wanarudishwa kambini mjini
 
Ni katika muemdelezo wa sakata la wamasai wa Ngorongoro.

Bi Maria Sarungi ambaye ndiye mtu namba moja aliesimama kwa hali na mali kuwapigania Wamasai wa Ngorongoro ameamua kuishtaki serikali ya Tanzania kwa Mwanadada Beyonce na mumewe Jay Z.

Vita ya uchumi ni mbaya sana.

View attachment 2265420
kwani ni kina nani?
 
Katika maisha unaweza kuwa na Kila kitu pesa, connection ila ukikosa kitu kimoja tu hususani kwa wawake huwa wanapata msongo wa mawazo

Tumuombee dada yetu apate hitaji lake dada ana stress na stress zinazomsumbua Sasa ni kupoteza heshima aliyokuwa nayo kwenye jamii na kuonekana kituko so anazidi changanyikiwa tu cause hakuna tasisi ya maana inayojitambua itaitaji fanya naye kazi zaidia ya tasisi za michongo
 
Ni katika muemdelezo wa sakata la wamasai wa Ngorongoro.

Bi Maria Sarungi ambaye ndiye mtu namba moja aliesimama kwa hali na mali kuwapigania Wamasai wa Ngorongoro ameamua kuishtaki serikali ya Tanzania kwa Mwanadada Beyonce na mumewe Jay Z.

Vita ya uchumi ni mbaya sana.

View attachment 2265420
Mbuyu huanza kama mchicha. Haya; Ngoja tusubiri kuona.
 
huyu dem ni mhaini serikali iondoe huu uchafu mapema at all cost kwa maslahi mapana ya taifa...
 
Ana matatizo ya akili huyu dada hili ni taifa huru lina sera na sheria zake za ndani katika kufanya mambo yake.
Wewe ndio kiazi kabisa hivi kile wanachofanyiwa wamasai unaona kipo sahihi??!!mbona wao serikal wanadai ni iyari but wanashambulia hujiulizi??!!jiongeze wewe
 
Wasiondoe masai wote but wapunguze idadi tu. Masai ni urithi wa Dunia
Ha haa mumewageuza wamasai kuwa sawa na yule Sarah Baartman lakini enzi hizi wazungu ndiyo wanakuja kuwaona wakiwa katika maeneo yao ya asili.
 
Back
Top Bottom