Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Maria tayari ni mkimbizi anachofanya ni kupaka rangi nyeusi ni kama mchawi anakesha na kaniki.l
Kwani anachosema ni uongo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maria tayari ni mkimbizi anachofanya ni kupaka rangi nyeusi ni kama mchawi anakesha na kaniki.l
Ujaluoni kuna deal gani, wakati hata kutahiriwa tu ni tatizo?
Unafahamu nambari ya akaunti ya benki anayopokelea malipo yake?
Ingelikuwa wewe ndiyo upo Loliondo wakati huu una makazi yako,maeneo yako kwa ajili ya shughuli zako tofauti uambiwe uhame na uendako huna hukujui,ungeondoka...
Waamishwe watanzania, afu kuumia waumie wakenya! Narudia tena mfano mimi nimuhamishe mke wangu, afu kuumia uumie wewe shoga yake, et kwa sababu unaishi jirani na chumba chetu? Ushaona wapi uchungu wa namna hiyo? It doesn't make sense kabisa.Hizo nchi nyingine tulizopakana nazo raia wetu walihamishwa kwa mabavu tupime usemacho?
Huyo unaebishana nae, ni miongoni mwa wanaharakati koko wanaofanywa mazuzu na wamasai wa kenya ambao wengi wao hata kuoga hawajui. Afu ukute huyo mwanaharakati koko, eti yey ndo mjanja katika familia yao 🙆♂️Bichwa empty. Kwa taarifa yako, yule hakuna mweupe anayemuona ni mwenzake. Hujatembea, ndiyo maana una mawazo ya kindezi.
Kamuulize Obama, ndiyo utaelewa ninachosema.
We don't know. She is just a puppet of Kenyans people.Ananufaikaje na haya anayo yafanya
Waarusha ndio kabila gani vile?Wamasai
Wamasai waliojitokeza dar ubalozini sio wamasai ni wahuni wsliokulia mjini hata masikio yao ni ya kawaida. Pia kuna watu wanaitwa waarusha wanazurura mijiji wakijiita wamasai .
Thats true.
Na isitoshe nchi hii ina mapori mengi tu yasiyokaliwa na watu, huko tabora na kwingineko. Kwanini loliondo? Wamasai nao ni watu. Wana haki ya kuchagua mahali pa kuishi ndani ya nchi yao...
[emoji1787][emoji24] Unaakili sana Bro. Wakuje town wavae Dior na Madela but wataishi kua wamasai.uko wanapopelekws wanakuwa waha au wachaga
Ukiambiwa hiali haimaanish ugome, Unapaswa kutii inawasilishwa kama ombi kwa lugha ya utu lakini sheria ishapita, Hata Lipumba alipigwa kiutaniutani hivohivo. OhooohWewe ndio kiazi kabisa hivi kile wanachofanyiwa wamasai unaona kipo sahihi??!!mbona wao serikal wanadai ni iyari but wanashambulia hujiulizi??!!jiongeze wewe
Duuh mhurumie jaman, Sasa uko kwa Obana ataanzia wapi kwenda/kuuliza[emoji1787]Bichwa empty. Kwa taarifa yako, yule hakuna mweupe anayemuona ni mwenzake. Hujatembea, ndiyo maana una mawazo ya kindezi.
Kamuulize Obama, ndiyo utaelewa ninachosema.
Unamuhamishaje mkeo ndio tatizo. Unadhani ukiamua kumuhamisha mkeo kwa mabavu na kipigo juu, huku mkeo akiwa hakubali na kilio kikali, lazima majirani wataingilia.Waamishwe watanzania, afu kuumia waumie wakenya! Narudia tena mfano mimi nimuhamishe mke wangu, afu kuumia uumie wewe shoga yake, et kwa sababu unaishi jirani na chumba chetu? Ushaona wapi uchungu wa namna hiyo? It doesn't make sense kabisa.
Ni influencer kwenye sosho midia hivyo yupo kazini na kuna taasisi hasa za utetezi wa haki za binadamu/mazingira zinamlipa kwa kupaza sautiAnanufaikaje na haya anayo yafanya
Kwani kwenye dash board anaonyesha Km ngapi? Au yeye ni namba ipi D au yuko A huko?Anamtaka Jayz [emoji41]
Kigogo na beyonce [emoji23][emoji23], leo wameonekana liveNi katika muemdelezo wa sakata la wamasai wa Ngorongoro...
rise au raise mtusaidie ma linguistic.Sio Boho
Siyo Beyonce tu.Ameishitaki serikali kwa taasisi na watu wote wakubwa waliowahi kuja Ngorongoro.Ni wengi sana,kina Bilgate,Melinda,na wengine wengi.Anasema Rise your voice to help the voiceless.
Hahaha.. wakulima na wafugaji wa Kenya wakiiona hii post yako lazima wakucheke na kujipa matumaini kwamb bado kuna wajinga ambao wako humu mitandaoni kutetea masilahi yao na ya maboss wao. Ila nawahakikisha kwamb sio watanzania wote ni wajinga au mambumbu wa ardhi yetu kama wanavyofikiria. Wengi tunajitambua na tunasimama kama taifa na issue yoyote inayolihusu taifa. Na mwa hili la kuvamia ardhi yetu kupitia mgongo wa wamasai, wahesabu kuwa wameshindwa na wataendelea kushindwa zaidi hata kwa mengine.Unamuhamishaje mkeo ndio tatizo. Unadhani ukiamua kumuhamisha mkeo kwa mabavu na kipigo juu, huku mkeo akiwa hakubali na kilio kikali, lazima majirani wataingilia.
Hahaha.. wakulima na wafugaji wa Kenya wakiiona hii post yako lazima wakucheke na kujipa matumaini kwamb bado kuna wajinga ambao wako humu mitandaoni kutetea masilahi yao na ya maboss wao. Ila nawahakikisha kwamb sio watanzania wote ni wajinga au mambumbu wa ardhi yetu kama wanavyofikiria. Wengi tunajitambua na tunasimama kama taifa na issue yoyote inayolihusu taifa. Na mwa hili la kuvamia ardhi yetu kupitia mgongo wa wamasai, wahesabu kuwa wameshindwa na wataendelea kushindwa zaidi hata kwa mengine.
Wapi nimesema katembea? Nimesema ana damu ya kizungu ambalo ni kweli, sasa sijui unapanic nini mzee?