Maria Sarungi aishtaki Serikali ya Tanzania kwa Beyonce kuhusu suala la Ngorongoro

Maria Sarungi aishtaki Serikali ya Tanzania kwa Beyonce kuhusu suala la Ngorongoro

Huyu mama Samia nimechoka kama shetani
Utajibeba awamu hii. Wakati kesi ya Mbowe ikiendelea ulikuwa na furaha ya ajabu hata shetani hakukufikia. Alipoachiwa huru ukawa wa baridi hadi JF unakuja Kwa kuvizia. Na sisi tunasema mbele kwa mbele kanyaga vichwa vya watekaji na wauaji.
 
Nakingereza chako cha maji taka..huyo sio demu amekuzidi kila kitu..
Namwita dem sababu hana akili ms.enge tuu huyo.... Hao akina Jay z na Beyonce kwao kuna kitu kinaitwa Eminent Domain so wanafahamu nguvu ya serikali, akasome ajue ni nini asiendekeze ujinga wake hapa.
 
Wamasai Ni moja ya vivutio hapo Ngorongoro

Yuko sahihi

Kama movie ya Royal Tour , hakuleta matekeo yoyote Basi Samia hajui lolote kuhusu Utalii.
Na hii kitu ita chafua sekta ya utalii
Unaona ni sifa binadamu na Watanzania wenzako kuwa kituko Cha kuangaliwa na watalii kuwa watu wanoishi Kama wanyama kwenye matembe ya nyasi
Funny you
 
Wazungu wamefanikiwa sana kututawala , its shame kuona mtu kama Maria Sarungi anapita kwenye kurasa za watu maarufu wa mataifa ya magharibi kuchafua sifa njema ya Taifa hili ambalo Baba yake alihudumu nafasi nyeti ya Waziri wa Ulinzi.

Maria ameshindwa kujengea hoja mawazo yake sasa hana tofauti na wale watu pale Kivu wanaobaguana Wacongo na Wanyarwanda kwa karne hii anayofanya Maria Sarungi ni jambo la kusikitisha sana.

Mtu kama huyu akipewa nafasi ndiye atakayetuuza mapema kwa mabwana zake anaowasujudia.
Suala la kuondoa Masai Ngorongoro ni suala mtambuka kama ilivyokuwa sheria ya iuwaondoa wahamihaji pale London.
 
Mbona Maria anakuza hili suala dogo liwe kubwa hivi kwani kuhama kupisha shughuli za kimaendeleo ni jambo la kushangaza kweli jamani.Shida akina Maria ni kutaka hela za wazungu bila kuangalia athari za mbele na huku ni kuhujumu uchumi wa Tanzania na hii kutaka kurudisha nyuma jitahada za serikali kwenye kujenga uchumi wake.
 
Mbona Maria anakuza hili suala dogo liwe kubwa hivi kwani kuhama kupisha shughuli za kimaendeleo ni jambo la kushangaza kweli jamani.Shida akina Maria ni kutaka hela za wazungu bila kuangalia athari za mbele na huku ni kuhujumu uchumi wa Tanzania na hii kutaka kurudisha nyuma jitahada za serikali kwenye kujenga uchumi wake.

Mkuu mbona haya serekali yetu inataka hela za hao hao wazungu? Au akizitaka Maria kwako inakuwa nongwa?
 
Wazungu wamefanikiwa sana kututawala , its shame kuona mtu kama Maria Sarungi anapita kwenye kurasa za watu maarufu wa mataifa ya magharibi kuchafua sifa njema ya Taifa hili ambalo Baba yake alihudumu nafasi nyeti ya Waziri wa Ulinzi.
Maria ameshindwa kujengea hoja mawazo yake sasa hana tofauti na wale watu pale Kivu wanaobaguana Wacongo na Wanyarwanda kwa karne hii anayofanya Maria Sarungi ni jambo la kusikitisha sana.

Mtu kama huyu akipewa nafasi ndiye atakayetuuza mapema kwa mabwana zake anaowasujudia.
Suala la kuondoa Masai Ngorongoro ni suala mtambuka kama ilivyokuwa sheria ya iuwaondoa wahamihaji pale London.
Ameshahongwa huyo na manyang'au ili asimame upande wao. Serikali iwapuuze manyang'au na mazuzu yao yote yaliopo mitandaoni. Hili ni swala la upepo ambalo litapita tu kama yalivyopita mengine.
 
Mkuu mbona haya serekali yetu inataka hela za hao hao wazungu? Au akizitaka Maria kwako inakuwa nongwa?
Sio kwa kueneza machukizo,kwani na yeye anataka mikopo ya masharti nafuu.
 
Adui Wa Watanzania Ni Mtanzania Kamwe Kamwe Mdada Hataiingiza Tanzania Kwa Maono Yake Na Wanaomtuma Katika Vita.
 
Na kweli nyie kondoo, ndio maana wakenya wanatumia ukondoo wenu kujinufaisha wao na familia zao. Ujinga wa baadhi ya watanzania humu mitandaoni ndio uchochoro muhimu wanaotumiaga wakenya katika harakati zao za kila siku.

Hizo propaganda za wakenya kuwa wanafaidika naona mmelishana mpaka mmegeuza ndio ukweli wenyewe. Akili za mwenge wa uhuru zimegeuza watanzania kuwa maduwanzi wa kudumu.
 
Sio kwa kueneza machukizo,kwani na yeye anataka mikopo ya masharti nafuu.

Vyovyote iwavyo, lakini hela ya mzungu haikwepeki kwake yeye, au kwa hawa majizi ya kura.
 
Mwarabu amehonga jeshi,mwarabu amehonga CCM yote,mwarabu anafadhili kampeni za CCM .Mwisho kassimu majaliwa ndio master WA huyu mwarabu,ndio maana anamiliki timu ya NAMUNGO kulipa wachezaji wote Kwa miezi yote kumbe anapata fedha Kwa mwarabu OBC ,mwigulu anamiliki timu ya DTB a.k.a singida stars fedha wanahongwa huku wakisema tuhamie Burundi
 
Back
Top Bottom