Mtu wa Asali
Senior Member
- May 9, 2022
- 152
- 292
Maria ana damu ya kizungu, hana huu ukondoo tulionao sisi black people.
Kule kwetu ujalooni hii damu huesabika kama ni laana otieno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maria ana damu ya kizungu, hana huu ukondoo tulionao sisi black people.
That lady is a true definition of devil
Hua Mimi nilichoshindwaga kuelewa mpaka Sasa Ni kwamba Ni kwann Hawa Wadada(Maria &Fatuma) hawaguswagi na System.Mbona Maria anakuza hili suala dogo liwe kubwa hivi kwani kuhama kupisha shughuli za kimaendeleo ni jambo la kushangaza kweli jamani.Shida akina Maria ni kutaka hela za wazungu bila kuangalia athari za mbele na huku ni kuhujumu uchumi wa Tanzania na hii kutaka kurudisha nyuma jitahada za serikali kwenye kujenga uchumi wake.
Anaingia kwenye black list, amekosa Mume wa kumstiri anataka kukosa na nchi ya kuhifadhi mwili wake. Muda mrefu amefanya biashara ya ukuwadi kwa mabinti wadogo aliowaita Mamiss sasa anataka kuikuwadia nchi kwa mabeberu.
Bichwa empty. Kwa taarifa yako, yule hakuna mweupe anayemuona ni mwenzake. Hujatembea, ndiyo maana una mawazo ya kindezi.
Kamuulize Obama, ndiyo utaelewa ninachosema.
Wazungu wamefanikiwa sana kututawala , its shame kuona mtu kama Maria Sarungi anapita kwenye kurasa za watu maarufu wa mataifa ya magharibi kuchafua sifa njema ya Taifa hili ambalo Baba yake alihudumu nafasi nyeti ya Waziri wa Ulinz...
Kule kwetu ujalooni hii damu huesabika kama ni laana otieno.
Unafahamu nambari ya akaunti ya benki anayopokelea malipo yake?Mbona Maria anakuza hili suala dogo liwe kubwa hivi kwani kuhama kupisha shughuli za kimaendeleo ni jambo la kushangaza kweli jamani.Shida akina Maria ni kutaka hela za wazungu bila kuangalia athari za mbele na huku ni kuhujumu uchumi wa Tanzania na hii kutaka kurudisha nyuma jitahada za serikali kwenye kujenga uchumi wake.
Kabla ya kumhukumu Maria, tuletee facts tuelewe vizuri (amefanya nini, wapi, kwa njia zipi, akishirikiana na nani, kinyume na katiba au sheria ipi).Wazungu wamefanikiwa sana kututawala , its shame kuona mtu kama Maria Sarungi anapita kwenye kurasa za watu maarufu wa mataifa ya magharibi kuchafua sifa njema ya Taifa hili ambalo Baba yake alihudumu nafasi nyeti ya Waziri wa Ulinzi...
Sio kwamb tumegeuza ndio ukweli.. Bali unachotakiwa kujua huu ndio ukweli wenyewe. Tanzania tumezungukwa na nchi nyingi tu kama vile Uganda, Zambia, Burundi, Congo na nyinginezo. Sasa jiulize mbona hizo zingine hatuzilaumu wala zenyewe hazitulaumu?mmegeuza ndio ukweli wenyewe.
Thats true.Mkuki kwa nguruwe ni mtamu ila kwa binadamu mchungu
Achana nao hao, washakubali kuuza utu wao kwa sababu ya njaa zao.Anaingia kwenye black list, amekosa Mume wa kumstiri anataka kukosa na nchi ya kuhifadhi mwili wake. Muda mrefu amefanya biashara ya ukuwadi kwa mabinti wadogo aliowaita Mamiss sasa anataka kuikuwadia nchi kwa mabeberu.
Sio kwamb tumegeuza ndio ukweli.. Bali unachotakiwa kujua huu ndio ukweli wenyewe. Tanzania tumezungukwa na nchi nyingi tu kama vile Uganda, Zambia, Burundi, Congo na nyinginezo....
Beberu wasubiri nchi kwa kukuwadiwa na Maria, wakati kila siku rais yuko huko kwao anaonesha roho tua?
Kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake. Tukibaki jamii ya kukubaliana kila kitu, kila sera wakati nchi yetu ni masikini huo ni ujinga. Watu kwenye,,,