Wewe ndiyo hujatembea, siyo yeye. Ndiyo maana nikakuambia kamuulize Obama kama coloured people wanaonwa kama ni wazungu na wazungu.
Ni kweli hawawaoni kama ni wazungu, lakini hawawaoni nyani kama sisi weusi wa weusi kabisa.
Ndiyo maana maria unamuona ana akili, kumbe kwa sababu wewe unajiona nyani!!??
Kwa taarifa yako, mimi ni muAfrika mweusi, lkn katu siyo nyani. Labda wewe ndiyo nyani.
Mpuuzi sana huyu dada, hiyo picha ilipigwa Kinondoni mwaka 2006 sio huko Ngorongoro.Ni katika muemdelezo wa sakata la wamasai wa Ngorongoro.
Bi Maria Sarungi ambaye ndiye mtu namba moja aliesimama kwa hali na mali kuwapigania Wamasai wa Ngorongoro ameamua kuishtaki serikali ya Tanzania kwa Mwanadada Beyonce na mumewe Jay Z.
Vita ya uchumi ni mbaya sana.
View attachment 2265420
Kwaiyo wewe ukizidiwa Kila kitu na huyo demu basi Kila mtu anaona kazidiwa?Nakingereza chako cha maji taka..huyo sio demu amekuzidi kila kitu..
Kwani ni selikali ya dhalimu wako hii?Ni kweli kabisa watanzania wanajitambua hadi pesa ya umma ikitoka kwenda kwenye maendeleo wanasema ni pesa za rais, lakini deni linalopatikana sio la rais bali ni la nchi! Inshort kujitambua sasa hivi ni kuwa mzandiki na kuisifia serikali.
Kwani ni selikali ya dhalimu wako hii?
Si unapumua wewe?
Atawanufaisha wanaoteswa! pindi serikali hii itakapokemewa!Ananufaikaje na haya anayo yafanya
Nimeamini nchi hii viazi ni vingi kuliko wenye akili zao.Wamasai Ni moja ya vivutio hapo Ngorongoro
Yuko sahihi
Kama movie ya Royal Tour , hakuleta matekeo yoyote Basi Samia hajui lolote kuhusu Utalii.
Na hii kitu ita chafua sekta ya utalii
Ananufaikaje na haya anayo yafanya