Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Ziara sio.siri hata mwijaku au.steve mengele akipata tequila anaongea.tuu mwezi ujao tunaenda cuba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Ziara sio.siri hata mwijaku au.steve mengele akipata tequila anaongea.tuu mwezi ujao tunaenda cuba
Amini yote anayosema ni ya ukweli, kama unavyoamini taarifa ya ziara aliyoitoaNdugu zangu Watanzania,
Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.
Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani.
Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.
Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.
Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu?
Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?
Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni.
Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Utasugua sana benchi wewe unajipendekeza kama changudoa aliyekosa mteja vile. Kuna mstari mwembamba sana kati ya shoga na chawa,maana wote mumejitoa ufahamu na mko tayari kufanywa chochote.Naona mmekutana wenye akili sawa kama kichaa na jalala lake.
Ala kumbe na wewe ni mtu muhimu haya tujuzeMimi si nilishasema kuwa ni Mkulima ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo na chuki binafsi 😀😀
Kwani ilikuwa ni safari ya Siri?Ndugu zangu Watanzania,
Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.
Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani.
Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.
Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.
Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu?
Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?
Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni.
Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Wazazi wako wapo hai?Utasugua sana benchi wewe unajipendekeza kama changudoa aliyekosa mteja vile. Kuna mstari mwembamba sana kati ya shoga na chawa,maana wote mumejitoa ufahamu na mko tayari kufanywa chochote.
Unataka walete mahari kwa wazazi wako ?Wazazi wako wapo hai?
Jibu swali wazazi wako wapo hai? Jibu ndio au hapana.Unataka walete mahari kwa wazazi wako ?
Ndiyo haya toa location waje walete mahari naona unalazimishe nikuoe baada ya teuzi kubuma.Jibu swali wazazi wako wapo hai? Jibu ndio au hapana.
Ulikulia mikononi mwao au uliishi mitaani kama mtoto uliyetelekezwa na wazazi wako?Ndiyo haya toa location waje walete mahari naona unalazimishe nikuoe baada ya teuzi kubuma.
Huyo anamiliki akili za kuvukia barabara tu....ni mpumbavu mmoja ambae hajitambuiShida iko wapi kijana! Mbona unateseka sana!!
Subiri wakija kwenu ndiyo utafanya assessment.Ulikulia mikononi mwao au uliishi mitaani kama mtoto uliyetelekezwa na wazazi wako?
Jibu maswali hapa haraka sana.umekulia mikononi mwao au uliishi mitaani kama umetekelezwa?Subiri wakija kwenu ndiyo utafanya assessment.
2006 nasita tena jaman?safari hazijaanza bado. Kuna Royal Tour 2 inakuja, unalifahamu hilo?
Kuna mialiko kama 300 ya ki Rais duniani inangoja majibu.
Kuna mialiko ya vyuo vikuu kama 180 duniani vinangoja majibu,
Safari hazijaanza, huu mwaka wa kutimiza ilani yetu. Safari tukijaaliwa uhai zitaanza 2006+
Bora umemwambia jamaa ni mshamba sanaMbona unakuwa mshamba.
Travel itineraries zote duniani siyo siri hata ukienda na ndege binafsi.
Kwa hiyo hao wa viwanja vya ndege ndio walimpa taarifa huyo mama