Maria Sarungi alipewa na nani siri ya Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani wiki moja kabla ya kutolewa Taarifa rasmi?

Amini yote anayosema ni ya ukweli, kama unavyoamini taarifa ya ziara aliyoitoa
 
Naona mmekutana wenye akili sawa kama kichaa na jalala lake.
Utasugua sana benchi wewe unajipendekeza kama changudoa aliyekosa mteja vile. Kuna mstari mwembamba sana kati ya shoga na chawa,maana wote mumejitoa ufahamu na mko tayari kufanywa chochote.
 
Kwani ilikuwa ni safari ya Siri?
 
2006 nasita tena jaman?
 
Unauliza nini wakati alishazuiliwa kwenda kwenye nchii za matajiri wakati yeye kwake yamemshinda??akae atulie sio kupeleka jamm kwenye nchi za watu.unashindwa kujenga kwako unatamani vya wenzako.akae atulie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…