Maria Sarungi alipewa na nani siri ya Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani wiki moja kabla ya kutolewa Taarifa rasmi?

Aliyekuwa ana vujisha siri za awamu iliyopita sasa anaonja joto ya jiwe na uchungu wa siri zao kuvuja
 
Mfuate Maria Sarungi Nairobi umuulize nani amempa taarifa chawa wa mama Abdul.
 

Kujua taarifa kuna tatizo gani? Kuna sehemu ya katiba inayozuia kupata taarifa hizo? halafu, watanzania wako zaidi ya milioni 60. Tusitegemee kila mtu aunge mkono juhudi.
Naturally, kuna upinzani wa kila mtu anachofanya. Shida iko wapi? Au shida ni wewe kutotambua ukweli huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…