Siri zilikuwa enzi za makaratasi siyo era hii ya zeros na onesNdugu zangu Watanzania,
Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.
Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani.
Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.
Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.
Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu?
Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?
Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni.
Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Anaenda mareka kufanya nini huyu mama. Atakua anaenda kutuuza kwa mabeberu wamarekani. Tunajua hakuna jema lenye maslahi na umma wa wananchi kutokea marekani ila mipango ya unyonyaji ya kufaidisha vigogo tu na na maslahi ya wamarekani.Ndugu zangu Watanzania,
Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.
Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani.
Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.
Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.
Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu?
Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?
Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni.
Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Anaona wivu kwanin watu wambali wawe na taarifa yeye chawa pro asiwe nazoo nahs ndo hilo tuu linamsumbua lukaSiri zilikuwa enzi za makaratasi siyo era hii ya zeros na ones
Asante sana mkuu Pascal kwa ufafanuzi mzuri, wewe ni mwanaccm unayejielewa hatuna shaka na uwezo wako, ila huyu Lucas Mwashamba ni mzigo kwenye chama chenu msaidieni.Kwa kukusaidia tuu, ziara za rais sio siri kwa watu fulani fulani tukiwemo sisi media, Maria Sarungi ni mwandishi mahiri na makini wa habari na sio chawa kama...
Hakuna yoyote aliyevujisha hiyo wewe unayodhani ni siri, kuna safari za rais ni public na kuna safari ni private, safari private ndio siri, safari public sio siri, na kwa kukuongezea baada ya hapo ni Havana Cuba, siku ya Kiswahili Tarehe 7 November.
Naunga mkono Watanzania tusitoe nje siri zetu za ndani, ila ziara ya rais sio siri, tena kwa taarifa tuu, Ben na JK, kila wakisafiri, wanaandamana na kundi la watu zaidi ya 100 lile dreamliner letu la ATC lingekuwa fulu fulu kila ziara ya rais, na ku make Bingo! .
Mfano hai
Kwanza angalia tarehe ya bandiko hili kuhusu ziara ya rais Marekani Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York
Halafu angalia tukio lenyewe lilitokea baada ya muda gani?. New York: Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Tanzania - Starring Samia Suluhu Hassan, President of The United Republic of Tanzania
P
Siyo Maria tu hata Mange naye alikuwa na taarifa hiyo na aliripoti advance delegation ya Abdul na Wanu, kwani wewe tatizo lako nini mbona unateseka sana, naona unataka kuwachongea wana usalama kuwa hawako makini na kazi, hiki kiherehere chako kitakuja kukuweka pabaya.Ndugu zangu Watanzania,
Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.
Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani.
Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.
Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.
Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu?
Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?
Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni.
Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Mbona maelezo yake yanajibu kabisa hili swali lako.Sawa Mkuu Mwandishi Nguli wa habari na Wakili Msomi.
Naomba kukuuliza swali.kwa hiyo na wewe ulikuwa na taarifa wiki moja kabla kuwa Mama yetu mpendwa atatua Marekani kesho?
Duh, kwa hiyo hata Machawa hampewi taarifa? Nyie ni mapambio tu!!Ndugu zangu Watanzania,
Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.
Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani.
Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.
Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.
Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu?
Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?
Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni.
Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Unampatia sana huyu chawa, anajiona yeye pekee ndiye ana haki ya kuandika habari za Rais humu. ulipata tabu sana kufundisha ngumbaru kama huyu.Sasa kama tu ulikuwa huna Akili Chuoni Ilala nilikokuwa Nakufundisha na Kutwa ukawa Unajipendekeza Kwangu ili nikupe Marks (nikubebe Usifeli) leo hii utaweza kujua kuwa kuna Watu hawako Serikalini na katika System ila wana Taarifa zote za yanayoendelea huko?
Nani kakudanganya kuwa Udhibiti wa Taarifa za Ikulu ziwe na Usiri kwa Umma huwa unakuwa ni wa 100%? Mbona wengine tunajua kuwa wanakunywa sana Wines za Canada na Ufaransa na hata Afya zao si nzuri na husafiri kimya kimya kwa matibabu nchini Uingereza na China?
Bado tu una ile ile Diploma yako ya 2012 au ulijiendeleza na sasa nawe angalau una Kadigrii kako Kamoja kama Mimi Mwalimu wako Tukuka GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE?
Anataka Samia awe anatokea kama Ninja 😃Hahaha mwashamba anataka ziara za rais anayetumia pesa za umma ziwe siri kama za wachawi! 😃😃
Ngumbaru is chawa and Chawa is NgumbaruUnampatia sana huyu chawa, anajiona yeye pekee ndiye ana haki ya kuandika habari za Rais humu. ulipata tabu sana kufundisha ngumbaru kama huyu.
Mkuu umenifanya Nicheke mpaka basi. Cha kushangaza anajipendekeza huko ila Mama wala hampi Uongozi wowote.Unampatia sana huyu chawa, anajiona yeye pekee ndiye ana haki ya kuandika habari za Rais humu. ulipata tabu sana kufundisha ngumbaru kama huyu.
Kuna siku nilisema humu kuwa Mapambio yakizidi sana yanaanza kuonekana ni matusi sasaMkuu umenifanya Nicheke mpaka basi. Cha kushangaza anajipendekeza huko ila Mama wala hampi Uongozi wowote.
Yaani kama na wewe ulifundisha basi walimu walikufa wote.Sasa kama tu ulikuwa huna Akili Chuoni Ilala nilikokuwa Nakufundisha na Kutwa ukawa Unajipendekeza Kwangu ili nikupe Marks (nikubebe Usifeli) leo hii utaweza kujua kuwa kuna Watu hawako Serikalini na katika System ila wana Taarifa zote za yanayoendelea huko?
Nani kakudanganya kuwa Udhibiti wa Taarifa za Ikulu ziwe na Usiri kwa Umma huwa unakuwa ni wa 100%? Mbona wengine tunajua kuwa wanakunywa sana Wines za Canada na Ufaransa na hata Afya zao si nzuri na husafiri kimya kimya kwa matibabu nchini Uingereza na China?
Bado tu una ile ile Diploma yako ya 2012 au ulijiendeleza na sasa nawe angalau una Kadigrii kako Kamoja kama Mimi Mwalimu wako Tukuka GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE?
Hata mimi nilimwambia hivyo hivyo kuwa inawezekanaje chizi akawa mwalimu na kuwa na uwezo wa kumfundisha mtu?Yaani kama na wewe ulifundisha basi walimu walikufa wote.
wewe ufundishe kabisa mtu? Wewe ninae kujua mimi😂😂
Ila siwezi kuwa takataka kama wewe na huyo chiziYaani wote Mwanafunzi na mwalimu ni viherehere.
Wewe pia ni takataka kabisaa kama huyo mwalimu wako GENTAMYCINE
Mimi naongea ukweli na siyo kupiga mapambio.Kuna siku nilisema humu kuwa Mapambio yakizidi sana yanaanza kuonekana ni matusi sasa
Sasa kama Nimeshakukaza sana hadi ukapigwa Bomba Mwananyamala Hospitali utaachaje Kunijua? Nimekuvumilia vya Kutosha.Yaani kama na wewe ulifundisha basi walimu walikufa wote.
wewe ufundishe kabisa mtu? Wewe ninae kujua mimi😂😂
Embu wewe na huyo mjinga mwenzako mngekaa pembeni muache wenye akili Timamu wajadili hojaUnampatia sana huyu chawa, anajiona yeye pekee ndiye ana haki ya kuandika habari za Rais humu. ulipata tabu sana kufundisha ngumbaru kama huyu.