Maria Sarungi alipewa na nani siri ya Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani wiki moja kabla ya kutolewa Taarifa rasmi?

Maria Sarungi alipewa na nani siri ya Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani wiki moja kabla ya kutolewa Taarifa rasmi?

Naona umebadilika siku za mwanzo ulikuwa unamponda mama samia kuwa mdhaifu mara useme hawezi vaa viatu vya magufuli,tunakujua ww humpendi mama unawaza UKUU WA WILAYA

The same thing kwa kalemani na mtoto wa magufuli, huyu kijana anajua kutembea na upepo na kusoma wapi kuna chambichambi za kuishi aelekeze uchawa wake, hayupo consistent. Anajiita mzalendo, sidhani hata kama analipa kodi huyu
 
Roho inakuuuma Maria kakutangulia kutoa taarifa za mama kabla yako.

Chapa lapa huko!
 
Cdm wanafanya mambo yake kwa vikao rasmi, kuna kikao chochote cdm wamekaa na kuzungumzia hili usemalo?
Kwa mwaka kuna vikao vingapi na kwa mwaka wanafanya mambo mangapi kuzidi vikao?
Kwenda Hanang palipotokea land slide walikaa kikao?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.

Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani.

Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.

Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.

Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu?

Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?

Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni.

Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Sasa kama tu ulikuwa huna Akili Chuoni Ilala nilikokuwa Nakufundisha na Kutwa ukawa Unajipendekeza Kwangu ili nikupe Marks (nikubebe Usifeli) leo hii utaweza kujua kuwa kuna Watu hawako Serikalini na katika System ila wana Taarifa zote za yanayoendelea huko?

Nani kakudanganya kuwa Udhibiti wa Taarifa za Ikulu ziwe na Usiri kwa Umma huwa unakuwa ni wa 100%? Mbona wengine tunajua kuwa wanakunywa sana Wines za Canada na Ufaransa na hata Afya zao si nzuri na husafiri kimya kimya kwa matibabu nchini Uingereza na China?

Bado tu una ile ile Diploma yako ya 2012 au ulijiendeleza na sasa nawe angalau una Kadigrii kako Kamoja kama Mimi Mwalimu wako Tukuka GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.

Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani.

Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.

Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.

Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu?

Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?

Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni.

Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Acha ujinga wako basi.....aliekuambia safari rasmi za Rais ni siri nani ? Tuachie upuuuzi wako na uchawa wa kitotooo kabisaaaa
 
Sawa Mkuu Mwandishi Nguli wa habari na Wakili Msomi.

Naomba kukuuliza swali.kwa hiyo na wewe ulikuwa na taarifa wiki moja kabla kuwa Mama yetu mpendwa atatua Marekani kesho?
No hapana, sio kila mwandishi na kila media zinakuwa na taarifa za ziara za rais, only media husika na waandishi husika,very unfortunately mimi si miongoni mwao,hivyo sikuwa na taarifa ya ziara ya rais Marekani, lakini tayari ninayo taarifa ya kutua Havana Cuba tarehe 6 November kushiriki kongamano la kimataifa la lugha ya Kiswahili ambayo mimi ni mdau Katika Kukuza Lugha Yetu Adhimu ya Kiswahili Kimataifa, Mnaonaje Rais Samia, Atumie Kiswahili, Kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa?.
P
 
Naona umebadilika siku za mwanzo ulikuwa unamponda mama samia kuwa mdhaifu mara useme hawezi vaa viatu vya magufuli,tunakujua ww humpendi mama unawaza UKUU WA WILAYA
Endelea na ujinga wako ambao wenye akili ya kijinga kama yako walishindwa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.

Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani.

Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.

Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.

Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu?

Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?

Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni.

Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Twambie kuanzia tumsikilize na kumuamini kati ya Maria Sarungi aliyesema rais atakuwa Marekani na ikawa na wewe uliyesema rais atakuwa Vwawa?
 
Msaidie kijana wako kujua kwamba ratiba ya rais ni public na imejaa muda wote except for emergencies tu, na kila mtanzania ana haki ya kujua rais habari za rais wake, regardless ni mpinzani au mccm, including Maria! Kondoo ndio kitu gani? Havina uhusiano na hoja au ushaanza dementia na wewe tuanze kuchukua tahadhari!?

Tatizo la vijana wa kileo wakiwa pale jalalani wakavalishwa tshirt za kijani wakimaliza kutoka na makarai yao wanafikiri wanajua kila kitu hadi security details za rais. Rais ni public property na hamna mwenye ownership nayo baelezee!😀😀
Ratiba ya Rais siyo public. Usijidanganye.

Public ni ile inayotangazwa tu.
 
No hapana, sio kila mwandishi na kila media zinakuwa na taarifa za ziara za rais, only media husika na waandishi husika,very unfortunately mimi si miongoni mwao,hivyo sikuwa na taarifa ya ziara ya rais Marekani, lakini tayari ninayo taarifa ya kutua Havana Cuba tarehe 6 November kushiriki kongamano la kimataifa la lugha ya Kiswahili ambayo mimi ni mdau
P
Asante kwa majibu yako mazuri mheshimiwa.naomba kuuliza swali la nyongeza je media hupewa taarifa wiki moja kabla juu ya safari ya Mheshimiwa Rais?
 
Back
Top Bottom