Maria Sarungi alipewa na nani siri ya Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani wiki moja kabla ya kutolewa Taarifa rasmi?

Maria Sarungi alipewa na nani siri ya Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani wiki moja kabla ya kutolewa Taarifa rasmi?

Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.

Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani. Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.

Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.

Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu? Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?

Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni. Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug


Hakuna ziara ya Siri Kwa Rais

Wakianza mambo ya kuomba visa Tu watu wa ubalozi wanajua

Pia anaenda na ndege ya Abiria au serikali means kuna maandalizi logistics zote zinashughuliwa na watu mchanganyiko

So ukiangalia huo muingiliano wa watu hapo hakuwezi kuwa na siri
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.

Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani. Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.

Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.

Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu? Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?

Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni. Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Weye mwenyewe kwa uwezo wako wote wa kiakili wadhani ziara ya raisi Samia nchini Marekani ni siri?

Umeuliza suali la kitoto sana labda kama una "beef" na huyo Maria Sarungi.
 
wenyewe wanaohusika na usalama wanatowa leakage kwa sababu za kiusalama.

Usistuke.
Hakuna mtu yoyote wa usalama (wa Tanzania) ambae ata-leak taarifa kama ziara za nje khasa Marekani.

Upo utaratibu ambao huanzia na maombi ya visa ubalozini hadi kuhusisha State Deparment kule kwenyewe.

Baada ya hapo kuna masuala ya clearance na kutayarisha itineraries ambayo hupewa mazee wa Department of State idara ya kulinda viongozi wa nchi za kigeni (foreign VIPs) DSS au diplomatic security services ambao huandaa kila kitu khasa ulinzi, ratiba ya ziara na mengine.
 
Ziara za Rais sio siri hasa anapotaka kwenda nje ya nchi. Kuhusu Maria ni wa kumpuuza maana hajawahi kuwa na jema awamu zote. Akivuka mipaka atashughulikiwa na vyombo vya dola.
 
Hakuna mtu yoyote wa usalama (wa Tanzania) ambae ata-leak taarifa kama ziara za nje khasa Marekani.

Upo utaratibu ambao huanzia na maombi ya visa ubalozini hadi kuhusisha State Deparment kule kwenyewe.

Baada ya hapo kuna masuala ya clearance na kutayarisha itineraries ambayo hupewa mazee wa Department of State idara ya kulinda viongozi wa nchi za kigeni (foreign VIPs) DSS au diplomatic security services ambao huandaa kila kitu khasa ulinzi, ratiba ya ziara na mengine.
Hizo zote usemazo ni kawaida za safari. Mimi siziongelei hizo wala sijajibu hizo. nazifahamu kabla hujazaliwa. Tena kuna zingine za VIP, ambazo naamini kwa asilimia mia moja, huzielewi.

Sipo huko wala sikuwa huko nilipojibu. Nipo kwenye leakage za information zilizomshangaza mleta mada.

Sikushangai, wewe itakuwa ni katika wale wanaoitwa kondoo wanachekelea.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.

Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani. Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.

Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.

Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu? Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?

Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni. Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug
Swali ni kwa nini Ikulu hawatoi taarifa mpaka Maria Sarungi anatoa?
 
Hizo zote usemazo ni kawaida za safari. Mimi siongelei hizo wala sijibu hizo.

Tena kuna zinhgine za VIP ambazo huzielewi.

Sipo huko wala sikuwa huko nilipojibiu.

Sikushangai, wewe itakuwa ni katika wale wanaoitwa kondoo wanachekelea.
Angalia makazi yangu, I know everything ila hayanihusu lakini penye kurekebisha naingia.
 
Je taarifa rasmi kuhusu safari hii imetoka!? Na kama haijatoka ni kitu gani kimeharibika? Je kuna hatari ya kiusalama namna hiyo kwamba safari ya Samia ikifahamika kwa watanzania kuna tatizo!?

Kitendo cha Maria kufahamu kuhusu taarifa hizi ni kosa kisheria? Je ni jinai? Je watanzania hawana haki ya kujua Samia anakwenda wapi? Hiyo safari anatumia pesa za watanzania sio pesa zake, ni kodi na tozo za watanzania!

Halafu Mkuu ukishakubalia kuwa mtumishi wa umma kuna uhuru fulani personal unaupoteza! Kazi za Samia sio private tena!? Hatuna haja tena ya kumuachia Mkwe wake na Binti wawe wanamsaidia kuendesha nchi kama ni familia yake!

Samia ni mtumishi wa umma na analipwa pesa ambazo kimsingi ni pesa za watanzania! Sasa kwanini muajiri wako asijue sehemu ulipokwenda!?
Kama mtu hakati kufuatiliwa basi abakie na familia yake Kizimkazi uone kama kuna watu wataendelea kumuuliza anafanya nini!?
 
Sawa bibie nadhani tumeelewana.
Nadhani wewe umeelewa, kuwa haziongelewi "itinerary" za safari. Mleta mada kaongea wazi "leak" ya uwepo wa safari. na ndicho nilichojibu mimi.
 
Nachani wewe umeelewa, kuwa haziongelewi "itenerary" za dafari. Mleta mad kaongea wazi "leak" ya uwepo wa safari. na ndicho nilichojibu mimi.
Nami pia nimejibu kwamba hakuna mtu yoyote amevujisha hizo taarifa.

Maria Sarungi ana vyanzo mbalimbali ndani na nje ya TZ hivyo huwezi kusema kuna mtu amevujisha kama moja ya vyanzo hivyo vimempatia taarifa.

Usisahau hata hao waandaji wa mkutano anohudhuria raisi Samia waweza kuwa wametoa hiyo taarifa mapema.

Pia kuna kitu nimegundua, ni weye watumia keyboard au kuna mtu kaazima?

Nachani= Nadhani

dafari= safari

Hata weye waweza kukosea na ukaandika maneno ya ajabu.

Be humble.
 
Nami pia nimejibu kwamba hakuna mtu yoyote amevujisha hizo taarifa.

Maria Sarungi ana vyanzo mbalimbali ndani na nje ya TZ hivyo huwezi kusema kuna mtu amevujisha kama moja ya vyanzo hivyo vimempatia taarifa.

Usisahau hata hao waandaji wa mkutano anohudhuria raisi Samia waweza kuwa wametoa hiyo taarifa mapema.

Pia kuna kitu nimegundua, ni weye watumia keyboard au kuna mtu kaazima?

Nachani= Nadhani

dafari= safari

Hata weye waweza kukosea na ukaandika maneno ya ajabu.

Be humble.
Hivyo "vyanzo mbali mbali" ndiyo "snitch" katokea humo.


Nini ambacho huelewi hapo?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukaona kama ni jambo dogo lakini kwa jicho la tatu hili ni jambo kubwa sana linalopaswa kudhibitiwa kwa uharaka juu ya Mtu au watu au kikundi cha watu kinachoweza kuwa kinavujisha siri na taarifa za siri ambazo hazijawa rasmi na kutolewa kwa Umma.

Nasema hivi kwa kuwa wiki moja iliyopita Maria Sarungi niliona katika mtandao wake wa Twitter maarufu kama X akitoa taarifa kuwa Jumatano hii yaani kesho Rais wetu atatua Nchini Marekani. Ambapo Maria Sarungi alieleza mambo mengine ambayo mimi binafsi nayachukulia kama uzushi na muendelezo wa tabia yake ya kuendelea kuchafua wale wote alio na hasira nao na chuki binafsi. Kwa kuwa amekuwa akiongea na kuandika vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye amekuwa akikiri kuwa hana ushahidi.

Sasa Leo taarifa rasmi imetolewa ambapo imeonyesha kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakuwa Marekani siku ya kesho baada ya kuondoka hii leo.hii ikimaanisha kuwa taarifa iliyotolewa na Maria Sarungi wiki moja iliyopita juu ya safari ya Mheshimiwa Rais kwenda Marekani ilikuwa sahihi japo naamini maneno mengine ni ya uongo,uzushi na uchonganishi pamoja na kutaka kuwapaka watu matope hasa wale ambao ana chuki nao binafsi na kutumika na kutumiwa na watu walio nyuma ya pazia.

Swali langu ni je nani anayevujisha siri na kumpatia Maria Sarungi? Kwa Malengo gani? Kwa maslahi gani kwa Taifa letu? Huyo mtu anataka nini? Anataka kujenga taswira ipi? Anamtumikia nani na kupokea maelekezo kutoka kwa nani?

Hata hivyo naipongeza sana awamu ya sita kwa namna ilivyodhibiti kwa kiasi kikubwa kudhibiti uvujaji wa siri za ikulu ukilinganisha na awamu iliyopita. Najuwa suala hili litafanyiwa kazi na wahusika na hatimaye kukibaini kirusi na kukiweka pembeni. Hongereni sana wahusika kwa kazi hiyo ya kudhibiti uvujaji wa taarifa za siri.naamini hata hili mmeshaanza kulifanyia kazi na muhusika au kirusi hicho kitabainika na kunaswa na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ,miongozo,taratibu na miiko ya kazi yake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Rais Samia kuondoka leo Oktoba 29 kuelekea Marekani kuhudhuria mjadala wa Norman E. Borlaug


Ni muhimu sana ukaanza na "Ndugu zangu wana ccm"
 
Back
Top Bottom