data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
View: https://youtu.be/VbRMFq6s_P8?si=bn2t-JTMSFsys_T6
Lissu alikemea fasta lakini Mbowe yuko kimya.
Asa si Adui yake..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View: https://youtu.be/VbRMFq6s_P8?si=bn2t-JTMSFsys_T6
Lissu alikemea fasta lakini Mbowe yuko kimya.
Inabidi aende sehemu salama zaidi ndo aweza eleza kila kitu. Tofaut na hapo aweza kudakwa tena Kama kuku wa mdondoMaria Sarungi Asikae Kimya Apasue Mbarika Namna Jambo Lilivyokuwa
Wahuni wa mama Abdul wamebumaWakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
View attachment 3199978yu
Wasona kazi wamepata Cha kusema na kuandika 🤣🤣🤣move ya abdul nondo part2 yafanyikia kenya![]()
Ndiye mwanzilishi wa ujinga huuJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
MACCM yameachwa uchiKenya kwenyewe watu wamepotea sana
Haisemekani.Wakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
View attachment 3199978yu
Hujui chochoteNdiye mwanzilishi wa ujinga huu
ili CCM iendelee na ujangili wake.Atulie sasa,
Toa mfano wa kitu kingine, ulanzi una heshima yakeTena mafi ya ulanzi
Anayeendeleza n nanNdiye mwanzilishi wa ujinga huu
Sawa, hawa wanaofanya sasa hv wanatumwa na JPM?Mi sizingukagi, kwangu huyu ni katili zaidi plus hana chembe chembe hata ya uzalendo. Waje waniteke.
Hii movie yake mbona kama inaelekea kubuma?!!Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye alidaiwa kutekwa leo nchini Kenya, amepatikana huku akiahidi kuzungumza zaidi kesho baada ya kutulia.
Taarifa ya kutekwa kwa Maria ilitolewa leo Jumapili Januari 12, 2025 na taasisi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu ikisema: “Maria Sarungi Tsehai, mhariri huru wa vyombo vya habari nchini Tanzania na mtetezi wa haki za binadamu, ametekwa nyara na watu watatu wenye silaha katika eneo la Chaka, Kilimani jijini Nairobi.”
Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
Katika video fupi iliyochapishwa katika ukurasa wa X (zamani Twitter) wa Faith Odhiambo ambaye pia ni rais wa 51 wa Chama cha Wanasheria Kenya (LSK) imemuonesha Maria akiwa na Faith pamoja na watu wengine, huku Maria akiahidi kuzungumza kesho.
“Asanteni sana, nipo salama, Mungu ni mwema. Kesho nitachukua muda, nitaongea,niwashukuru Wakenya, Watanzania na watu wote wa kimataifa..Kwa sababu leo nimeokolewa,”amesema Maria
Hakuna alichosingiziwa,huu ujinga unaoendelea yeye ndiye muasisi na hawa wengine wanafuata nyayo zake.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Ndugu zako waliokufa wako wap sa h?yupo anachomwa moto huko kaburini
Kwahy sasa hv wanafanya hvy kwa kutumwa na nanInawezekana kuna kitu hukielewi vizuri, hao wanaofanya hayo ni walioasisiwa na JPM. Samia anatakiwa kuwazuia kufanya hayo.
Hao wanaofuata wanafanya hvy kwa kutumwa na nanHakuna alichosingiziwa,huu ujinga unaoendelea yeye ndiye muasisi na hawa wengine wanafuata nyayo zake.