Pre GE2025 Maria Sarungi kapatikana na karudi nyumbani kwake, ataongea kuhusu suala hilo Januari 13, 2025

Pre GE2025 Maria Sarungi kapatikana na karudi nyumbani kwake, ataongea kuhusu suala hilo Januari 13, 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
😂 JPM mlisema katili, amekufa ila mambo yanaendelea ety bado katili 😂 labla huo ukatili anafanya online akiwa kaburini
Ni Legacy yake inaendelea kwa sababu chama kinacho tawala bado ni kilekile alichokiacha.
 
Bado haibadilishi upumbavu uliokujaaa, wewe beba mimba ya mumeo lakini JPM alikuwa muuaji, nijibu Ben Saanane yuko wapi? Au na wewe ulikuwa kimada wa JPM?
Ishu ya Sativa imefikia wap 😂
Naskia JPM anahusika pia 😂
Mbaya zaid Sarungi nae ameponea chupuchupu kutekwa na JPM 😂
 
Kumtetea JPM inabidi ujizime DATA.

Kitendo cha kumuua ben na kumpiga risasi Lissu ni zaidi ya UNYAMA.

"Tulikuwa tunatrepu simu zake ,tukaona anawasiliana na mwanyika ,that's gavamenti ,hauwezi kuwa msaliti ukaendelea kusavaivu" - JIWE 2017 ,Sept 7
Hata simtetei mkuu nilikuwa namuelewesha jamaa maoni yangu kati ya Maza na Magu nani katili? Ali Kibao, Chaula, Soka na wenzake wawili,juzi uchaguzi wa serikali ya mtaa imeondoka na watu ,,hapo sijazungumzia wale wametekwa na kurudishwa, uhuni haujaisha hata kidogo ndiyo umekuwa zaidi.

Wote mizinguo ila Magu ashazidiwa. Huu ni msimamo wangu kabisa. (Hapo sijagusa hata WaMassai)
 
Mkuu mbona vitu vidogo unashindwa kuving'amua? Kwani Maria au Sativa anamsema JPM? Sativa si alisupport mgomo wa wamachinga k/koo? Alivyotekwa Nondo si walimwambia aache KAMDOMO?
Kwahy hao wanaofanya hvy wametumwa na nan
 
Kuhusu hili hebu njooni na habari kamili ambayo hata ukimwelezea mtu mwenye akili timamu atakuelewa
 
Back
Top Bottom