Ni Legacy yake inaendelea kwa sababu chama kinacho tawala bado ni kilekile alichokiacha.😂 JPM mlisema katili, amekufa ila mambo yanaendelea ety bado katili 😂 labla huo ukatili anafanya online akiwa kaburini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Legacy yake inaendelea kwa sababu chama kinacho tawala bado ni kilekile alichokiacha.😂 JPM mlisema katili, amekufa ila mambo yanaendelea ety bado katili 😂 labla huo ukatili anafanya online akiwa kaburini
Kazi ndogo tu hiyo mkuuCia on work things are tough
Ishu ya Sativa imefikia wap 😂Bado haibadilishi upumbavu uliokujaaa, wewe beba mimba ya mumeo lakini JPM alikuwa muuaji, nijibu Ben Saanane yuko wapi? Au na wewe ulikuwa kimada wa JPM?
Wa sasa wametumwa na nanNi Legacy yake inaendelea kwa sababu chama kinacho tawala bado ni kilekile alichokiacha.
Hata simtetei mkuu nilikuwa namuelewesha jamaa maoni yangu kati ya Maza na Magu nani katili? Ali Kibao, Chaula, Soka na wenzake wawili,juzi uchaguzi wa serikali ya mtaa imeondoka na watu ,,hapo sijazungumzia wale wametekwa na kurudishwa, uhuni haujaisha hata kidogo ndiyo umekuwa zaidi.Kumtetea JPM inabidi ujizime DATA.
Kitendo cha kumuua ben na kumpiga risasi Lissu ni zaidi ya UNYAMA.
"Tulikuwa tunatrepu simu zake ,tukaona anawasiliana na mwanyika ,that's gavamenti ,hauwezi kuwa msaliti ukaendelea kusavaivu" - JIWE 2017 ,Sept 7
Kenya kwenyewe watu wamepotea sana
Kwahy hao wanaofanya hvy wametumwa na nanMkuu mbona vitu vidogo unashindwa kuving'amua? Kwani Maria au Sativa anamsema JPM? Sativa si alisupport mgomo wa wamachinga k/koo? Alivyotekwa Nondo si walimwambia aache KAMDOMO?
Kwa hiyoKenya kuna majambazi sana, hasa wakati ule wa vurugu za serikali ya Ruto na Gen Z kuhusu budget iliyoongeza kodi zaidi, hali ya Kenya ilikuwa mbaya.
Naunga mkono hojaMatako
Hausiki kabisa, aliyepo kaamua mwenyeweSawa, hawa wanaofanya sasa hv wanatumwa na JPM?
Hao wanaofuata nyayo wametumwa na nanHakuna alichosingiziwa,huu ujinga unaoendelea yeye ndiye muasisi na hawa wengine wanafuata nyayo zake.
Nan huyo aliyeepoHausiki kabisa, aliyepo kaamua mwenyewe
Hivi damu ya binadamu ulipoionja ilikuwa na ladha ganiHao watekaji watakuwa wazembe sana!
Si rahisi kutaja mtu mmoja mmoja lakini ni dhahiri mamlaka au mtu/watu wenye mamlaka makubwa katika nchi kupitia taasisi za kiusalama wanahusika.Hao wanaofuata wanafanya hvy kwa kutumwa na nan
Nimeona analia Lia huko baada ya kupatikana tena wamemstahi tuu vinginevyo angejuta.Wakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
View attachment 3199978yu
Kwahy sio JPM?Si rahisi kutaja mtu mmoja mmoja lakini ni dhahiri mamlaka au mtu/watu wenye mamlaka makubwa katika nchi kupitia taasisi za kiusalama wanahusika.
Nataka kichwa chake!Yaani bado atahenyeshwa sana