Maria Sarungi: Naamini mtanzania anahusika juu ya kutekwa kwangu

Kuna 'kenge'(chawa) kazi yao huwa ni kusifia tu hata watu wakitekwa, wakiteswa na kuuawa huku polisi,viongozi wa serikali na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vikiwa kimya kwa makusudi(signs that they're involved in one way or the other) hao huja na 'hoja vitimbwi' kutetea ushenzi na uzandiki wa aina hiyo so literally inabidi kuwe na critics mfano wa Maria Sarungi ambao ni muhimu sana to balance the equation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…