Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Wangekata hiyo kichwa
Nanunua kichwa chake kwa milion 10
Nanunua kichwa chake kwa milion 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize mdudeWatekaji hawanaga hizo Bwashee
TISS & Kenyan Intelligence Agency.Hao ni wakora wa kukodishwa ndiyo waliomteka.
Kuna 'kenge'(chawa) kazi yao huwa ni kusifia tu hata watu wakitekwa, wakiteswa na kuuawa huku polisi,viongozi wa serikali na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vikiwa kimya kwa makusudi(signs that they're involved in one way or the other) hao huja na 'hoja vitimbwi' kutetea ushenzi na uzandiki wa aina hiyo so literally inabidi kuwe na critics mfano wa Maria Sarungi ambao ni muhimu sana to balance the equation.Changamoto inayojitokeza kwa wanaharakati wengi ni kutokuwa na nia njema kwenye shughuli zao za kukosoa serikali. Wanaharakati wanatakiwa pia kuiunga mkono serikali endapo itaweza kubadili mienendo yake, au kuunga mkono hoja ambazo wanapigania. Hii ndiyo maana ya kuwa na harakati hizo. Kuwa kwenye mzunguko wa kukosoa serikali bila kikomo hata katika maamuzi mazuri ina ashiria kutokuwa na nia njema
Muda huo wanakuwa nao unadhani..Hawajala mzigo kweli