Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kuna kipindi alipotea njia, hasa kipindi kile cha uchaguzi, alipoteza uwezo wake halisi wa kuchambua mambo alimezwa na hekaya za Mzee Mwanakijiji ,
Nadhani sasa na yeye anaona kabisa aliingizwa chaka
Safi kabisa, alikuwa ananikera sana-msomi mzima wa sheria alikuwa anajitoa akili kwenye issue sensitive kama hiyo na kuleta ukada!Ampe nani! Juzi Mkutano mkuu ule wa sisiem alikuwa kajipanga kumrithi Abraham Kinana
Alidanywa alikuwa keshadakisha dakisha wajumbe! wakamlaghai kuwa
angelirithi ukatibu Mkuu.
ILa mkuu akawachanilia mbali
ya kuwa kuna ambao wamehonga honga akatamka nataka sekretarieti nzima ibaki! akabaki amelala doro [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23]
mama yake ni mzungu kwahiyo yy ni chotaraMbona hafanani na philemon?
Mhabesh? Mbona haonekani? Au bread winner ni wifey?Kaa mbali jomba, mke wa mtu huyo, mumewe aitwa Mr Tsehai.
Hakupotea bali ilikuwa ni msimamo wake halisi. Miezi ya kwanza ya Magu alikuwa mpuliza tarumbeta ya kumshangilia mpk alipogundua mtoto siyo riziki ndo akaanza kujirudi ila kwangu CCM wote ni wanafiki tuKuna kipindi alipotea njia, hasa kipindi kile cha uchaguzi, alipoteza uwezo wake halisi wa kuchambua mambo alimezwa na hekaya za Mzee Mwanakijiji ,
Nadhani sasa na yeye anaona kabisa aliingizwa chaka
Kivipi labdaVery Smart yani anajitambua
Naona bigonzo hakufuatilia bunge la katiba huyu.Mkuu alijiaibisha alifanya NN?
Nadhani yeye ndiye aliyepoteza credibility yake kwako.Nilishapoteza credibility kwake alivyokuwa anatetea tafiti hata penye ukweli anapotosha kipindi cha uchaguzi alipokuwa na Twaweza. Huko nyuma nlikuwa namwona smart but after that nkajua ni mchumia Tumbo.
Hakupotea bali ilikuwa ni msimamo wake halisi. Miezi ya kwanza ya Magu alikuwa mpuliza tarumbeta ya kumshangilia mpk alipogundua mtoto siyo riziki ndo akaanza kujirudi ila kwangu CCM wote ni wanafiki tu
Bila shaka ni mjaluo huyo.Mtoto wa Philemon Sarungi aliyekua mkuu wa mkoa Kilimanjaro enzi hizo
Kaka kwani alikuwa hamfahamu Uncle wakati akiwa Wizara tofautitofauti?, sidhani kama alishirikisha ubongo wake vizuri, Maana ilikuwa kila mada ya Mzee Mwanakijiji aliyokuwa anaiweka hapa JF yeye alikuwa anaicopy na kuipaste kwenye wall zake mbalimbali za mitandao ya kijamii
Anyway nashukuru kama karudi kwenye uhalisia wake, hope anajuta sasa kwa kitendo chake cha kuwashawishi wananchi wamchague Uncle