Maria Sarungi: Nilitekwa nikiwa natoka saluni. Lengo lilikuwa ni kunivusha lakini hawakufanikiwa

Maria Sarungi: Nilitekwa nikiwa natoka saluni. Lengo lilikuwa ni kunivusha lakini hawakufanikiwa

Mwandiko wako tu unakutambulisha vema kwa namna kichwani mwako kulivyojaa kamasi badala ya ubongo!
Siku zote mimi nasisitiza huyu nguruwe baba yake aliuza nguruwe akapeleka nguruwe mwingine shule
 
kama kweli alitekwa mbona ameachwa mzima? hata mkono hata kuvunjwa hajavunjwa kama Abdul Nondo?
Ni hivi muda mfupi baada ya kutekwa Amnesty International kenya walipata taarifa na kurushwa hewani majangili wenzio wakawasiliana kuwa kimenuka wakati huo wamesha mvalisha pingu tayari kwa kuitafuta boda hivyo wakaona isiwe tabu wakamtema kenya sio kama huku kwenu chimba unye
 
Hajatekwa huyo, wawe wanajiongeza wanapocheza scene zao,sio kila mtu ni mjinga.Ovyo kabisa huyu dada.
Hahahahaaa, lishangazi limeumbuka. Atawapa hawahawa wajinga wa cdm ambao kwao jambo lolote litashangiliwa Ili mradi tu liwe linamuharibia Samia au serikali.
 
Ni hivi muda mfupi baada ya kutekwa Amnesty International kenya walipata taarifa na kurushwa hewani majangili wenzio wakawasiliana kuwa kimenuka wakati huo wamesha mvalisha pingu tayari kwa kuitafuta boda hivyo wakaona isiwe tabu wakamtema kenya sio kama huku kwenu chimba unye
Liangalieni hili ngese, linaongea ujinga hapa!
 
Ni hivi muda mfupi baada ya kutekwa Amnesty International kenya walipata taarifa na kurushwa hewani majangili wenzio wakawasiliana kuwa kimenuka wakati huo wamesha mvalisha pingu tayari kwa kuitafuta boda hivyo wakaona isiwe tabu wakamtema kenya sio kama huku kwenu chimba unye
Duuu wewe si bure utakuwa wameshakutoa marinda kabla hata ya kuvunja ungo.

Si kwa upeo mkubwa huo uliokuwa nao wa kuchmbua mambo makubwa kama haya unayoyachambua.
 
Ukiona Mtanzania anaelezea Tatizo lake Kwa kiingereza Basi jua hana Tatizo huyo analaghai tu. Mpira uishie hapo
 
Wakuu,

Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake.

Bado haijaeleweka hadi sasa kama atazungumza kwa kujirekodi video kueleza nini hasa kilitokea, atatengeneza thread ya kuelezea tukio zima au atatoa tamko kupitia space.

Soma pia: Kuelekea 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Tanzania inasubiri. Kaa karibu na uzi huu kujua kitakachojiri

==========================================

"Jana niliondoka nyumbani kwenda saluni ili kutengeneza nywele zangu. Nilipofika, wakati namaliza, niliona mwanamke aliingia ndani ya saluni haraka haraka alafu akatoka, alikuwa amevaa mask. Sikufuatilia sana baada ya kuona hivyo"

"Mara nyingi mimi huwa nawasiliana na mume wangu nimpe updates za wap nilipo. Kwa hiyo nikamtaarifu kwamba nataka kuondoka. Nikatumia app ya Little ya kuita gari y kunirudisha. Yule dereva alifika lakini hakuweza kuingia ndani"

"Kwa hiyo nikawa naenda getini ili niweze kuingia kwenye gari na wakati dereva anajaribu kuondoa gari ili kulipeleka barabarani, kuna mwanaume mmoja mweusi alitoka kwenye gari yao na wengine wawili wakaanza kumfokea dereva kwamba afungue mlango. Na mimi nikamwambia dereva asifungue mlango wa gari"

"Baada ya hapo waliweza kufungua mlango na wakaanza kunivuta nje nikaanza kupambana nao ili nisitoke nje ya gari lakini waliweza kunibeba na kuniingiza kwenye gari yao. Nilikuwa napiga kelele sana kuomba msaada baada ya muda wakaanza kujaribu kufiha uso wangu ili nisiwaone"


View: https://www.youtube.com/watch?app=desktop&v=81e_duSZSc0

Maria akizungumzia iwapo Serikali ya Tanzania ilihusika katika utekaji wake:

Ndefu hadi unasinzia
 
Ukiona Mtanzania anaelezea Tatizo lake Kwa kiingereza Basi jua hana Tatizo huyo analaghai tu. Mpira uishie hapo
Unajua zamani nilikuwa nakuchulia kama mtu mwenye IQ kubwa sana.

Kwa comment yako hii nimegundua kuwa nilikuwa nadandia train kwa mbele bila kujua kasi yake halisi.
 
Ukiona Mtanzania anaelezea Tatizo lake Kwa kiingereza Basi jua hana Tatizo huyo analaghai tu. Mpira uishie hapo
Hapo alikuwa anakata mawasiliano kwa makusudi kwa sababu ambazo hajazisema wazi wazi! Yaani Kiswahili anasikia halafu anawajibu kwa Kiingereza!!
 
Back
Top Bottom