Maria Sarungi: Nilitekwa nikiwa natoka saluni. Lengo lilikuwa ni kunivusha lakini hawakufanikiwa

Maria Sarungi: Nilitekwa nikiwa natoka saluni. Lengo lilikuwa ni kunivusha lakini hawakufanikiwa

Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3200661
1736778339982.jpeg
 
Unafaidika na nini akinyamaza?
SELF-PROMOTION OF UNTOUCHABLENESS AND FEARLESNESS WHILE THEY ARE FULL OF FEAR AND VURNERABLE. JESUS DID NOT CRY BECAUSE HEWAS NOT A CRIMINAL
 
Walikuwa wanakuleta uwe wakala wa Lissu wala hawakuwa na nia nyingine ovu ili mkipigwa msilalamike kwamba Mwamba kachakachua kura
 
sasa ndungu mpenzi wa movie za kujiteka,

ukimpima huyo mumama wa kujiteka Kenya, anaweza kumfikia Abdul nondo kwa ustadi wa kujiteka Kweli?

Hata hivyo gentleman
kujiteka ni miongni mwa mambo ya hovyo sana kufanywa na mtu mzima ati ili tu awe maarufu au kusingizia wengine waonekane wabaya 🐒
Aidha wewe ni askari usiye na uoga na damu za watu, au mhalifu mzoefu usiyeogopa kuuwa idadi yoyote ya watu.
 
Back
Top Bottom