Kina nani hawa waliovaa kofia za kapelo katika CCTV footage hii, je unawatambua, tunajua JF inasomwa duniani kote si Kenya na Tanzania tu :
View: https://m.youtube.com/watch?v=0B5-LFnRZew
View: https://m.youtube.com/watch?v=0B5-LFnRZew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaanataka kuzungumza jinsi alivyo jiteka sio?
hata hivyo bado hawezi kufikia wala kuvunja rekodi ya kiwango cha kujiteka cha Abdul nondo wa act 🐒
watakuwa wako field za kuteka hao,Maria yuko You Tube Live anaunguruma watekaji wamekimbia na simu zake baada ya Maria kuwanyima password.
Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3200661
huyo mbibi ni muongo zaidi ya abdul nondo aise tata![]()
Wazanzibar mna roho mbaya sanaAzungumze tu.
uongo wa huyo mbibi ni wa kiwango cha sgr dah, ati katekwa Kenya na TanzaniaUtekaji wote ni uongo. Mama oyee sasa tumekuwa machawa wa usalama

tulia hivyo hivyo gentleman utazoe tuUkiamua kuongea ongea, ukiamua kuacha acha.

Ujinga ni kudhani kuwa hili jambo ni la watu fulani pekee, ipo siku watu fulani watakuwa ni wewe, ndugu yako au jamaa yako!!anataka kuzungumza jinsi alivyo jiteka sio?
Faiza ni wa Shungubweni, MkurangaWazanzibar mna roho mbaya sana
Kwa hiyo walimteka halafu wakamwachia kiboya aende, walimteka Ili iweje sasa!?Ujinga ni kudhani kuwa hili jambo ni la watu fulani pekee, ipo siku watu fulani watakuwa ni wewe, ndugu yako au jamaa yako!!
SELF-PROMOTION OF UNTOUCHABLENESS AND FEARLESNESS WHILE THEY ARE FULL OF FEAR AND VURNERABLE. JESUS DID NOT CRY BECAUSE HEWAS NOT A CRIMINALUnafaidika na nini akinyamaza?
Swali zuri sana.💐💐💐Unafaidika na nini akinyamaza?
Anyamaze aache kiherehere
Ashasema eti huenda ni Mtanzania ndio kamteka! Ahahahahaha!!Tunasubiri kwa hamu tuone atasemaje
Kama ya hayati MagufuliAzungumze tu.
Aidha wewe ni askari usiye na uoga na damu za watu, au mhalifu mzoefu usiyeogopa kuuwa idadi yoyote ya watu.sasa ndungu mpenzi wa movie za kujiteka,
ukimpima huyo mumama wa kujiteka Kenya, anaweza kumfikia Abdul nondo kwa ustadi wa kujiteka Kweli?
Hata hivyo gentleman
kujiteka ni miongni mwa mambo ya hovyo sana kufanywa na mtu mzima ati ili tu awe maarufu au kusingizia wengine waonekane wabaya 🐒