Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
nachocheka ni namna alivyojiteka gentleman na anaowalaumuYaani mtanzania mwenzako amepata matatizo we unacheka na unamuita mbibi?

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nachocheka ni namna alivyojiteka gentleman na anaowalaumuYaani mtanzania mwenzako amepata matatizo we unacheka na unamuita mbibi?

Mbona kimya? Maria weeeeeWakuu,
Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake.
Bado haijaeleweka hadi sasa kama atazungumza kwa kujirekodi video kueleza nini hasa kilitokea, atatengeneza thread ya kuelezea tukio zima au atatoa tamko kupitia space.
Soma pia: Kuelekea 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
Tanzania inasubiri. Kaa karibu na uzi huu kujua kitakachojiri
==========================================
"Jana nilieondoka nyumbani kwenda saluni ili kutengeneza nywele zangu. Nilipofika, wakati namaliza, niliona mwanamke aliingia ndani ya saluni haraka haraka alafu akatoka, alikuwa amevaa mask"
Swali gumu hilo hata yule mganga wa JF Mshana Jr sidhani kama ataliweza😎we umejuaje ikiwa alitekwa gentleman 🐒
Umeweka "Live" lakini hakuna hata link ya kuona live kweli!!??Wakuu,
Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake.
Bado haijaeleweka hadi sasa kama atazungumza kwa kujirekodi video kueleza nini hasa kilitokea, atatengeneza thread ya kuelezea tukio zima au atatoa tamko kupitia space.
Soma pia: Kuelekea 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
Tanzania inasubiri. Kaa karibu na uzi huu kujua kitakachojiri
![]()
Media Briefing on the Abduction of Maria Serunga Tsehai. | Maria Serunga Tsehai, the Law Society of Kenya and Amnesty International, will address the press at the Rex Masai Assembly Hall, Amnesty International... | By Amnesty International Kenya | Fa
Maria Serunga Tsehai, the Law Society of Kenya and Amnesty International, will address the press at the Rex Masai Assembly Hall, Amnesty International...www.facebook.com
==========================================
"Jana nilieondoka nyumbani kwenda saluni ili kutengeneza nywele zangu. Nilipofika, wakati namaliza, niliona mwanamke aliingia ndani ya saluni haraka haraka alafu akatoka, alikuwa amevaa mask. Sikufuatilia sana baada ya kuona hivyo"
"Mara nyingi mimi huwa nawasiliana na mume wangu nimpe updates za wap nilipo. Kwa hiyo nikamtaarifu kwamba nataka kuondoka. Nikatumia app ya Little ya kuita gari y kunirudisha. Yule dereva alifika lakini hakuweza kuingia ndani"
"Kwa hiyo nikawa naenda getini ili niweze kuingia kwenye gari na wakati dereva anajaribu kuondoa gari ili kulipeleka barabarani, kuna mwanaume mmoja mweusi"
Hata akinyamaza haisaidiiAnyamaze aache kiherehere
Wakuu,
Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake.
Bado haijaeleweka hadi sasa kama atazungumza kwa kujirekodi video kueleza nini hasa kilitokea, atatengeneza thread ya kuelezea tukio zima au atatoa tamko kupitia space.
Soma pia: Kuelekea 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
Tanzania inasubiri. Kaa karibu na uzi huu kujua kitakachojiri
![]()
Media Briefing on the Abduction of Maria Serunga Tsehai. | Maria Serunga Tsehai, the Law Society of Kenya and Amnesty International, will address the press at the Rex Masai Assembly Hall, Amnesty International... | By Amnesty International Kenya | Fa
Maria Serunga Tsehai, the Law Society of Kenya and Amnesty International, will address the press at the Rex Masai Assembly Hall, Amnesty International...www.facebook.com
==========================================
"Jana nilieondoka nyumbani kwenda saluni ili kutengeneza nywele zangu. Nilipofika, wakati namaliza, niliona mwanamke aliingia ndani ya saluni haraka haraka alafu akatoka, alikuwa amevaa mask. Sikufuatilia sana baada ya kuona hivyo"
"Mara nyingi mimi huwa nawasiliana na mume wangu nimpe updates za wap nilipo. Kwa hiyo nikamtaarifu kwamba nataka kuondoka. Nikatumia app ya Little ya kuita gari y kunirudisha. Yule dereva alifika lakini hakuweza kuingia ndani"
"Kwa hiyo nikawa naenda getini ili niweze kuingia kwenye gari na wakati dereva anajaribu kuondoa gari ili kulipeleka barabarani, kuna mwanaume mmoja mweusi"
NAKAZIAAchausenge weweboya
Maria yuko You Tube Live anaunguruma watekaji wamekimbia na simu zake baada ya Maria kuwanyima password.Mbona kimya? Maria weeeee
NAkAZIA✍️Mwandiko wako tu unakutambulisha vema kwa namna kichwani mwako kulivyojaa kamasi badala ya ubongo!
Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake.
Vizabizabina wekeni updates basi tufanye forensic analysisMaria yuko You Tube Live anaunguruma watekaji wamekimbia na simu zake baada ya Maria kuwanyima password.
anataka kuzungumza jinsi alivyo jiteka sio?
hata hivyo bado hawezi kufikia wala kuvunja rekodi ya kiwango cha kujiteka cha Abdul nondo wa act 🐒
huyo mbibi ni muongo zaidi ya abdul nondo aise tataSerikali ya Kenya ni ya kidemokrasia sio machawa Mama

Sasa wewe unayetuita sisi vizabizabina mbona na wewe unataka uzabizabina? 😄🤔Vizabizabina wekeni updates basi tufanye forensic analysis