Maria Sarungi: Nilitekwa nikiwa natoka saluni. Lengo lilikuwa ni kunivusha lakini hawakufanikiwa

Maria Sarungi: Nilitekwa nikiwa natoka saluni. Lengo lilikuwa ni kunivusha lakini hawakufanikiwa

sasa ndungu mpenzi wa movie za kujiteka,

ukimpima huyo mumama wa kujiteka Kenya, anaweza kumfikia Abdul nondo kwa ustadi wa kujiteka Kweli?

Hata hivyo gentleman
kujiteka ni miongni mwa mambo ya hovyo sana kufanywa na mtu mzima ati ili tu awe maarufu au kusingizia wengine waonekane wabaya 🐒
Achausenge weweboya
 
Wakuu,

Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake.

Bado haijaeleweka hadi sasa kama atazungumza kwa kujirekodi video kueleza nini hasa kilitokea, atatengeneza thread ya kuelezea tukio zima au atatoa tamko kupitia space.

Soma pia: Kuelekea 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Tanzania inasubiri. Kaa karibu na uzi huu kujua kitakachojiri
Naipenda Kenya Mh
Wakuu,

Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake.

Bado haijaeleweka hadi sasa kama atazungumza kwa kujirekodi video kueleza nini hasa kilitokea, atatengeneza thread ya kuelezea tukio zima au atatoa tamko kupitia space.

Soma pia: Kuelekea 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Tanzania inasubiri. Kaa karibu na uzi huu kujua kitakachojiri
Mh Ruto Rais wa Kenya naomba nipe uraia wa Kenya ,ni matumain yangu ombi langu litakubariwa , mie mtanzania naomba kuwa mkenya
 
#Free Dr.Slaa
Mwache kule alipo ndipo atapata tiba inayomsumbua miaka mingi uyu mzee alishaota kuwa anakuwa Rais sasa kichwa bado akijakaa sawa kila wakati anaoto analetewa taharifa nyeti na wana usalama sasa yeye anaziamini anatuma na clip ya taharifa aliopokea kutoka Usalama wa ndotoni!!!!! Kule alipo ata tafakuli vizuli kuwa yeye sio Rais. ni raia tu mzee aliepitia misukosuko mingi ikiwemo inayousu punye !!!!!
 
sasa ndungu mpenzi wa movie za kujiteka,

ukimpima huyo mumama wa kujiteka Kenya, anaweza kumfikia Abdul nondo kwa ustadi wa kujiteka Kweli?

Hata hivyo gentleman
kujiteka ni miongni mwa mambo ya hovyo sana kufanywa na mtu mzima ati ili tu awe maarufu au kusingizia wengine waonekane wabaya 🐒
Na vile vile watu wazima kushindwa kujibu hoja,bali wanataka kuzijibu kwa mtutu.
Uoneni aibu wajinga nyinyi.

Mnaumbuka sasa.
Mkapambane na wahujumu uchumi na wezi
 
Wakuu,

Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake.

Bado haijaeleweka hadi sasa kama atazungumza kwa kujirekodi video kueleza nini hasa kilitokea, atatengeneza thread ya kuelezea tukio zima au atatoa tamko kupitia space.

Soma pia: Kuelekea 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Tanzania inasubiri. Kaa karibu na uzi huu kujua kitakachojiri
Kasalimika kwenye mdomo wa mamba
 
Mwache kule alipo ndipo atapata tiba inayomsumbua miaka mingi uyu mzee alishaota kuwa anakuwa Rais sasa kichwa bado akijakaa sawa kila wakati anaoto analetewa taharifa nyeti na wana usalama sasa yeye anaziamini anatuma na clip ya taharifa aliopokea kutoka Usalama wa ndotoni!!!!! Kule alipo ata tafakuli vizuli kuwa yeye sio Rais. ni raia tu mzee aliepitia misukosuko mingi ikiwemo inayousu punye !!!!!
Huko madrasa mnafundishwa kuwa Dr.Slaa ni "Kafiri"? Mbona mnachuki nae sana?
Dhamana iko wazi sasa kwanini aendelee kuteswa Mzee Slaa na umri wote ule?!
 
Wakuu,

Kama alivyotuahidi jana, siku ya leo Mwanaharakati nguli Afrika Mashariki, Maria Sarungi atazungumza kinaga ubaga kuhusu namna alivyotekwa mpaka kupatikana kwake.

Bado haijaeleweka hadi sasa kama atazungumza kwa kujirekodi video kueleza nini hasa kilitokea, atatengeneza thread ya kuelezea tukio zima au atatoa tamko kupitia space.

Soma pia: Kuelekea 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Tanzania inasubiri. Kaa karibu na uzi huu kujua kitakachojiri
Kwa heri uhuru, kwa heri ukoloni.Africa Ina shida
 
Mwandiko wako tu unakutambulisha vema kwa namna kichwani mwako kulivyojaa kamasi badala ya ubongo!
relax gentleman tuskize behind the scenes kwenye kujiteka huyo mbibi kilitokea nini 🤣
 
Back
Top Bottom