Maria Sarungi: Tanzania inahitaji Rais mbabe ili abadili mfumo wa ovyo tulionao

Maria Sarungi: Tanzania inahitaji Rais mbabe ili abadili mfumo wa ovyo tulionao

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200

Huyo ni Maria Sarungi binti wa Profesa msomi wa tiba za binadamu, Mbunge (mstaafu) wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri (mstaafu) wa Wizara ya Ulinzi ( W UL) mwana siasa mashuhuri ( mstaafu) nchini mzee Philemon Sarungi.

Unadhani Maria huyo unayemsikia hapo juu akikutana na Maria wa sasa hivi wataelewana kweli?!
 
Mbabe kwenye kusimamia sheria, asiye mkabila wala mdini. Siyo mteka watu na muuwa watu.
Asiyeenda kuficha pesa China na kupiga 10% kwenye miradi mikubwa
We do not need autocratic leadership in politics but in business,, Maamuzi ya kisiasa huathiri maisha ya watu kwa hasi ama chanya. (maamuzi ya kisiasa yanaweza sababisha biasahra zikue ama zife) na hakuna wa kuhoji, jamii mfu haiwezi kuhoji mfano mzuri muliambiwa hakuna tozo kwenye miamala ya simu kuanzia shilingi sifuri hadi thelathini lakini hazikuondolewa na watu kimyaa! mme ufyata na hawakuridi kuomba msamaha kwamba walikosea wameamua kula bati. Jamii ambayo haiwezi kuhoji wacha iteseke hadi ipate ufahamu bora muliuonja utawala wakufyata mkia mmepata ufahamu kidogo (autocratic leadership). Jamii ya bora liende. jamii ambyo serikali inajifungia kwa muda mrefu na kutumia kodi zenu kutengeneza miongozo na tozo bila kushirikishwa duu poleni sana (governments that spend a lot of time and money to establish rules, regulation and rate settings aimed at guiding business without partcipatory of stakeholders, in a long run become ineffective
 
Wakikutana zitapigwa mpaka watoane ndulundi (manundu), na ugomvi kuisha ni lazima wapitanjia tuingilie kati na kuwaachanisha.
 
View attachment 2630589
Huyo ni Maria Sarungi binti wa Profesa msomi wa tiba za binadamu, Mbunge (mstaafu) wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri (mstaafu) wa Wizara ya Ulinzi ( W UL) mwana siasa mashuhuri ( mstaafu) nchini mzee Philemon Sarungi.

Unadhani Maria huyo unayemsikia hapo juu akikutana na Maria wa sasa hivi wataelewana kweli?!
Aina ya Wanawake hawa wakiolewa wanataka kuachika na wakiachika wanataka kuolewa

Akipata bwana mwenye pesa anataka mwenye six packs na akipata mwenye six pack anataka mwenye kifua kama matako ya Mtoto mdogo …kwa kifupi hawajielewi
 
Back
Top Bottom