Maria Sarungi: Tanzania inahitaji Rais mbabe ili abadili mfumo wa ovyo tulionao

Maria Sarungi: Tanzania inahitaji Rais mbabe ili abadili mfumo wa ovyo tulionao

Baba yake akiwa Waziri wa ulinzi aliiba sana Hela za serikali, maria ameishi maisha yake akiogelea katika raha ya fedha za ufisadi, zimemsomesha, na hata Sasa anendelea kutumia fedha hizo
Ndiyo anataka rais mbabe maana hata Baba yake asinge fisadi pesa ya serikali.
 
..Maria Sarungi alitaka Raisi mbabe.

..na huenda bado anataka Raisi mbabe.

..lakini kuna ubabe wa aina nyingi.

..muulizeni, Je, alitaka Raisi mwenye ubabe kama wa Magufuli?



.
 
Haaaahaaa nimecheka sana tena alikuwa anaongea kwa msisitizo duuuh! Usicheze na Mungu na Technolojia R.I.P Ruge.
 
View attachment 2630589
Huyo ni Maria Sarungi binti wa Profesa msomi wa tiba za binadamu, Mbunge (mstaafu) wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri (mstaafu) wa Wizara ya Ulinzi ( W UL) mwana siasa mashuhuri ( mstaafu) nchini mzee Philemon Sarungi.

Unadhani Maria huyo unayemsikia hapo juu akikutana na Maria wa sasa hivi wataelewana kweli?!

Yeye ameyasema hayo akiwa anatesekea wapi
 
Mbabe kwenye kusimamia sheria, asiye mkabila wala mdini. Siyo mteka watu na muuwa watu.
Asiyeenda kuficha pesa China na kupiga 10% kwenye miradi mikubwa
Yaani Dikteta mzalendo na muadilifu kweli kweli !! Na akae madarakani kwa muda usiopungua miaka 20 !
 
Back
Top Bottom